Mwakyembe aitumia TAKUKURU kumng'oa Jamal Malinzi TFF?

Ubadhirifu umejulikana kipindi cha uchaguzi tu? Baada ya uchaguzi kama malengo yakitimia ya kupachika makada wa chama utasikia DPP anawafutia kwa nolle prosequi
Naon una interest na mali ya nzi ID yko tu inaonesha na km hjui hzo tuhuma alipewa toka mda sana kbla ata ya mchakato wa uchaguz kuanz ..
 
mkuu hata BLATTER aling'olewa na serikali kwa kashfa ya rushwa,acha kudanganya watu,Malinzi atakaa ndani mpaka usaili upite ili asiwe mgombea
Hakung'olewa na serikali alitolewa na kamti ya FIFA acha kutuongopea bwana.
 
Zimezagaa tetesi za Takukuru kumfikisha mahakamani Rais wa TFF Jamal Malinzi na wakati huohuo Waziri wa Michezo amesikika akilonga na vyombo vya habari serikali imekusudia kuleta mabadiliko makubwa TFF.

Tatizo hizi jitihada mbili zinasukumwa na uchaguzi wa TFF vinginevyo hakuna mageuzi zaidi ya kuwang'oa waliopo na kuwapachika makada wa CCM kama akina Ally Tembele au Mwakalebela n.k

Katiba ya FIFA iko wazi serikali zikae mbali na siasa za TFF na hizi jitihada za Mwakyembe na wenzie zinaweza kabisa kusababisha tukafungiwa soka miaka miwili sasa sijui hayo mageuzi hewa yatapenya wapi?

Vyombo vya khabari havikumhoji Mwakyembe ni aina gani zaidi ya kumng'oa Malinzi na timu yake?

Serikali haina mkakati wowote wa kusaidia soka ili ijitegemee zaidi ya kudhoofisha.
Hata kodi kwenye vifaa vya michezo wameshindwa kuifuta kwenye bajeti ya sasa na ni mageuzi yapi hayo makubwa?
Acheni Takukuru wafanye kazi yao hili la kumsingizia Mwakyembe mnataka kuhamisha mada sehemu isiyohusika
 
Zimezagaa tetesi za Takukuru kumfikisha mahakamani Rais wa TFF Jamal Malinzi na wakati huohuo Waziri wa Michezo amesikika akilonga na vyombo vya habari serikali imekusudia kuleta mabadiliko makubwa TFF.

Tatizo hizi jitihada mbili zinasukumwa na uchaguzi wa TFF vinginevyo hakuna mageuzi zaidi ya kuwang'oa waliopo na kuwapachika makada wa CCM kama akina Ally Tembele au Mwakalebela n.k

Katiba ya FIFA iko wazi serikali zikae mbali na siasa za TFF na hizi jitihada za Mwakyembe na wenzie zinaweza kabisa kusababisha tukafungiwa soka miaka miwili sasa sijui hayo mageuzi hewa yatapenya wapi?

Vyombo vya khabari havikumhoji Mwakyembe ni aina gani zaidi ya kumng'oa Malinzi na timu yake?

Serikali haina mkakati wowote wa kusaidia soka ili ijitegemee zaidi ya kudhoofisha.
Hata kodi kwenye vifaa vya michezo wameshindwa kuifuta kwenye bajeti ya sasa na ni mageuzi yapi hayo makubwa?
Acheni Takukuru wafanye kazi yao hili la kumsingizia Mwakyembe mnataka kuhamisha mada sehemu isiyohusika
 
Zimezagaa tetesi za Takukuru kumfikisha mahakamani Rais wa TFF Jamal Malinzi na wakati huohuo Waziri wa Michezo amesikika akilonga na vyombo vya habari serikali imekusudia kuleta mabadiliko makubwa TFF.

Tatizo hizi jitihada mbili zinasukumwa na uchaguzi wa TFF vinginevyo hakuna mageuzi zaidi ya kuwang'oa waliopo na kuwapachika makada wa CCM kama akina Ally Tembele au Mwakalebela n.k

Katiba ya FIFA iko wazi serikali zikae mbali na siasa za TFF na hizi jitihada za Mwakyembe na wenzie zinaweza kabisa kusababisha tukafungiwa soka miaka miwili sasa sijui hayo mageuzi hewa yatapenya wapi?

Vyombo vya khabari havikumhoji Mwakyembe ni aina gani zaidi ya kumng'oa Malinzi na timu yake?

Serikali haina mkakati wowote wa kusaidia soka ili ijitegemee zaidi ya kudhoofisha.
Hata kodi kwenye vifaa vya michezo wameshindwa kuifuta kwenye bajeti ya sasa na ni mageuzi yapi hayo makubwa?


TFF YA BUKOBA NDIO BASI TENA WAHAYA WAKAE PEMBENI
 
Zimezagaa tetesi za Takukuru kumfikisha mahakamani Rais wa TFF Jamal Malinzi na wakati huohuo Waziri wa Michezo amesikika akilonga na vyombo vya habari serikali imekusudia kuleta mabadiliko makubwa TFF.

Tatizo hizi jitihada mbili zinasukumwa na uchaguzi wa TFF vinginevyo hakuna mageuzi zaidi ya kuwang'oa waliopo na kuwapachika makada wa CCM kama akina Ally Tembele au Mwakalebela n.k

Katiba ya FIFA iko wazi serikali zikae mbali na siasa za TFF na hizi jitihada za Mwakyembe na wenzie zinaweza kabisa kusababisha tukafungiwa soka miaka miwili sasa sijui hayo mageuzi hewa yatapenya wapi?

Vyombo vya khabari havikumhoji Mwakyembe ni aina gani zaidi ya kumng'oa Malinzi na timu yake?

Serikali haina mkakati wowote wa kusaidia soka ili ijitegemee zaidi ya kudhoofisha.
Hata kodi kwenye vifaa vya michezo wameshindwa kuifuta kwenye bajeti ya sasa na ni mageuzi yapi hayo makubwa?
Akitoa rushwa na kutumia madaraka vibaya tu aachwe tu!! Acha ashughulikiwe tu...!!
 
Zimezagaa tetesi za Takukuru kumfikisha mahakamani Rais wa TFF Jamal Malinzi na wakati huohuo Waziri wa Michezo amesikika akilonga na vyombo vya habari serikali imekusudia kuleta mabadiliko makubwa TFF.

Tatizo hizi jitihada mbili zinasukumwa na uchaguzi wa TFF vinginevyo hakuna mageuzi zaidi ya kuwang'oa waliopo na kuwapachika makada wa CCM kama akina Ally Tembele au Mwakalebela n.k

Katiba ya FIFA iko wazi serikali zikae mbali na siasa za TFF na hizi jitihada za Mwakyembe na wenzie zinaweza kabisa kusababisha tukafungiwa soka miaka miwili sasa sijui hayo mageuzi hewa yatapenya wapi?

Vyombo vya khabari havikumhoji Mwakyembe ni aina gani zaidi ya kumng'oa Malinzi na timu yake?

Serikali haina mkakati wowote wa kusaidia soka ili ijitegemee zaidi ya kudhoofisha.
Hata kodi kwenye vifaa vya michezo wameshindwa kuifuta kwenye bajeti ya sasa na ni mageuzi yapi hayo makubwa?
Acheni Takukuru wafanye kazi yao hili la kumsingizia Mwakyembe mnataka kuhamisha mada sehemu isiyohusika
 
Ina maana zile kashfa zote ni uongo?
Na je, aachwe kisa tu inaonekana kisa uchaguzi?
 
_20170628_211010.JPG
 
Msisahau kuwa hata Mwakalebela aliwah kukamatwa kwa tuhuma za Rushwa kwenye Masisiem yao huko Iringa
 
Mimi nataka nijue takukuru wakikushikilia wanakuweka wapi? Maana hawana rock up au mimi sielewi!! Na sheria inasemaje, takukuru mpaka wakushikilie ina maana wanauhakika au?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
TFF mpaka leo imeshindwa kuhakikisha inakusanya mapato kwa kutumia mashine za ki-elektroniki.
Serikali ilishaagiza kuwa makusanyo katika mechi zote za mpira,ili kudhibiti mapato zitumike stakabadhi za Elektroniki, badala yake kila siku chama cha mpira kipo katika madeni yasiyoisha.
Na timu za mpira hazijatengenezewa mfumo wa kujiendesha,kwa kuwa na mifumo ya kisasa ya uendeshaji.
Bora mabadiliko yaingie TFF.
Lakini ukiona mtu anatumia fedha na nguvu nyingi kupata nafasi ya madaraka ujue,lazima kuna kurudisha gharama alizozitumia,au ni kujinifaisha na nafasi aliyoipata!
 
Back
Top Bottom