Amekuwa kama Mzee wa Gombe miaka miwili ijayo lazima abadilike awe nyaraka za serikali
du kweli mwakyembe hapendwi hapa
Amekuwa kama Mzee wa Gombe miaka miwili ijayo lazima abadilike awe nyaraka za serikali
nasikitika sana kuona mama kama wewe unalea upuuzi wa kuua shirika na kuona its a big deal kufanya matengenezo ndani ya nchi, ndo kitu cha msingi sana alichokifanya unachokiona wewe?? ndio nabwatuka maana kodi zangu zinapotea bure kwa wapuuzi kama nyie mnaolipwa mishahara bila ya kufanya kazimadudu kuzuia utengenezaji wa ndenge nje ya nchi na kuanza kutengeneze hapa nchini?hebu imagine,kulikuwa na haja gani kutengenezea ndege nje ya nchi wakati inawezekana kufanyia hapa nchini,atcl ilikuwa imekufa atleast baada ya yeye kuteuliwa inaonekana,watu walikuwa wanalipwa bila kufanya kazi.acha kubwatuka,cha maana huyo mwakyembe aseme sababu ya msingi ya kutengua uteuzi wa paul.au aeleze ni sheria na taratibu gani zilikiukwa.tusitee vitu ambavyo vinacist nchi hii.
Sijawahi kuona mtu mnafiki kama Mzee wa Ukurutu tulikuwa tunamuonea huruma na kumombea kuhusu Afya yake baada ya kupata nafuu na karudi kutoka India akawaita waandishi wa habari na kusema tusiingilie Afya yake hajui alikuwa anatumia kodi zetu tuna haki ya kuhoji
shida aliyekuwepo anaupungufu gani?sio wivu wala nini,tuwe wawazi maana kazi yake watanzania tumeiona,sasa tatizo lilikuwa wapi?.pia ujue kujua kazi sio sababu ya kuwa msimamizi na mpanga mipango bora.Mpiga majungu kweli haachi fitina. Hivi wewe ulitaka amteuwe nani mwenye sifa anayemzidi Lusajo? Jamani acheni wivu na kuwapaka watu matope...lo!
basi tuambie hayo madudu wewe mfanyakazi bora.wewe sema alifanya madudu;nasikitika sana kuona mama kama wewe unalea upuuzi wa kuua shirika na kuona its a big deal kufanya matengenezo ndani ya nchi, ndo kitu cha msingi sana alichokifanya unachokiona wewe?? ndio nabwatuka maana kodi zangu zinapotea bure kwa wapuuzi kama nyie mnaolipwa mishahara bila ya kufanya kazi
Wafanyakazi wa
ATCL wapinga maamuzi ya
Muheshimiwa Harrison
Mwakyembe ya kumtimua
aliyekua kaimu mkurugenzi mkuu
wa ATCL kwa Bw. Paul Chizi kwa
hoja ya kwamba amefanya hivyo
kwa tofauti zake binafsi na Bw.
Paul Chizi na si kwa sababu za
kiutendaji source "clouds F.M"
Wamezoea kutuibia kodi zetu!! Fukuza wote!
Huu ndio upuuzi unaoifanya nchi hii kubakia maskini. Rubani kazi yake ni kuendesha ndege, kuongoza shirika la ndege lazima uwe umebobea katika STRATEGIC Management na sio urubani. Paul Chizi alikuwa boss wa JETLINK, shirika la waKenya, kwa wakenya kumpa uboss mtanzania hawezi kamwe kuwa mbabaishaji, hata kidogo kwa vile kule kuna ushindani sana. Waziri Nundu alimuomba aache kazi kule aje kuokoa jahazi nchini kwake, nyie mnataka afanyiwe interview wakati credentials zake ziko clear!? Kwa muda mchache aliokaa amefanikiwa kuleta ndege ambayo ndo most competent kwenye soko la afrika masharika. Boeing 737-500 inabeba watu 108 na inatumia saa moja kamili DAR to Mwanza kwenye abiria wengi. Iko very efficient kwenye fuel. Precision wana boeing yao inabeba abiria 137 lakini mara nyingi haijai na inakula mafuta zaidi pia inatumia saa moja na dk 10 Dar to Mza. Fly 540 wanatumia Jet inabeba abiria 54 tu ingawa iko fuel efficient kama hii ya ATC lakini inatumia saa moja na dk 15 Dar to Mza. Kama umeenda kidogo shule calculate COMPETITIVE ADVANTAGE hapo then utaona kwa nini hata bei Bw Chizi aliweka chini kuliko bei za hao wengine. Jamaa wa mashirika binafsi huyu jamaa aliwanyima usingizi kabisa. Sisi tunaotumia huu usafiri mara nyingi tumehuzunishwa sana na kuondolewa kwa huyu jembe kwa alitupa bei ya ukombozi na ndege inakuwa full wiki nzima toka imefika. Labda kaondolewa kwa kuwa yuko KAMBI YA LOWASSA!!!!Lusajo ni rubani wa siku nyingi sana tena ni highly qualified, jamani!!
Tusimjadili aliyeteuliwa, nafikiri ni vyema zaidi tukajadili kufukuzwa kwa aliyekuwepo je amefukuzwa kwa uhalali?