samahan naomba ufafanuzWabongo bana! Mim aliniuzi sana alipokana kuwataja waiomjulias na kukataza magazete yasizungumzie hiyo insue. Na rafiki yake 6 upo wapi nowday simsikii au kaenda nigeria kutembea kidogo!
samahan naomba ufafanuzWabongo bana! Mim aliniuzi sana alipokana kuwataja waiomjulias na kukataza magazete yasizungumzie hiyo insue. Na rafiki yake 6 upo wapi nowday simsikii au kaenda nigeria kutembea kidogo!
Hayajui adha tunayopata tukiulizwa huku ughaibuni. Mfano, unaulizwa unatokea wapi? Najibu: Tanzania, swali lingine: Mna kampuni gani ya ndege? hapo ndiyo unaanza kuchukia uwepo wako pale, najibu: Aaahh eeeeeh mara ooooh, tunashirikiana na Kenya airways, mara Precision kumbe nako ni wizi mtupu hakafiki popote zaidi ya kuwapelekea abiria Kenyaairways. Ujanja ujanja mwingi kila kona nchi hii.
Hao wafanyakazi hawana madhara, umesahau wale walio mpokea Jairo kwa nderemo na vifijo??
Hata hao wanaolalamika walikuwepo hapo ATCL kabla ya Mwakyembe kuwa waziri wamelifanyia nini shirika mpaka wamugeuke.
Longo longo style +majungu+ujanja=wizi wizi
heb mwacheni mzee wa kunyonyoka apige mzigo
heb mwacheni mzee wa kunyonyoka apige mzigo
yaan ww ni kichwa maana wabongo kwa kusahau sisi wenyewe! Watakuwa wez wenzake!
Mwakyembe piga kazi hao wanamaslahi binafsi kama ilivyokuwa kwa mzee wa kazi JAIRO. Aliyeonja kifo haogopi kufa.
kiongozi! Hata wewe, kumbuka hujafa hujaumbika
Du mwacheni Mzee wa ukurutu afanye kazi yake
ukiacha sababu aliyotoa Mwakyembe hivi bwana Chizi ana kosa gani? Kapewa atcl ipo taabani ...mi naamini ni zengwe! Time ll tell
Alizuia magazeti yasizungumzie swala la ugojwa wake.
Kweli hii mada jamaa hajaiweka vizuri, haiko kisiasa ukiangalia iko Kiudaku. Sasa nimeelewa ni nini anamaanisha baada ya kusoma gazeti
utoto tu unamsumbua huyoDEMOCRATIC
kiongozi! Hujafa hujaumbika,wakati wake umepita ingawa umemuacha na majeruhi,Mungu yu mwema aliye mponya ndio atakaye mrudishia mwili wake salama na wanafiki,maadui wake wote mtabaki na mshangao.
kiongozi! Nimeshutushwa sana na kauli za watu kama democratic ,inasikitisha sana