MWAKA UNAISHA HIVYO NASHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA UHAI LAKINI MAISHA KUTOBOA NI NDOTO

Davety

Member
Dec 14, 2018
76
70
Vijana wenzangu binafsi mwaka unaisha hivyo lakini maisha kwangu ni magumu tu sana yani.

Kiukweli napambana najitahidi kubana matumizi lakini kamshahara nakopata pamoja na vipesa vidogo vidogo navyopata kutokana na shughuri za ujasiriamali zinaishia kwenye misosi na kujenga kapangara kangu tu.

Nakomaa mpaka mwisho lakini wapi naishia kujibana mpaka sasa naishi kama masikini hii apana.

Natamani kuwa na gari nzuri familia nzuri mtoto mkali ndani miradi lakini haiwezekani.

Sipendi uzeeni ndyo nimiliki gari na kanyumba sijui kakupangisha huo ujinga sitaki lakini kwa maisha haya yanavyoenda kila mwaka ukipinduka hali ndyo inazidi kuwa ngumu kutoboa inakuwa ngumu zaidi kwangu.

Nakomaa mpaka msuri unakatika lakini wapi ase kutoboa life bado ni ndoto.

Vijana wenzangu tufanye nini ili tutoboe mwaka ujao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana babu, usikate tamaa maana kuna 2019, 2020, 2021 na mingine mingi mbele huwezi jua mkono wa bwana Mungu lini atauweka juu ya kichwa chako!!!
 
Vijana wenzangu binafsi mwaka unaisha hivyo lakini maisha kwangu ni magumu tu sana yani.

Kiukweli napambana najitahidi kubana matumizi lakini kamshahara nakopata pamoja na vipesa vidogo vidogo navyopata kutokana na shughuri za ujasiriamali zinaishia kwenye misosi na kujenga kapangara kangu tu.

Nakomaa mpaka mwisho lakini wapi naishia kujibana mpaka sasa naishi kama masikini hii apana.

Natamani kuwa na gari nzuri familia nzuri mtoto mkali ndani miradi lakini haiwezekani.

Sipendi uzeeni ndyo nimiliki gari na kanyumba sijui kakupangisha huo ujinga sitaki lakini kwa maisha haya yanavyoenda kila mwaka ukipinduka hali ndyo inazidi kuwa ngumu kutoboa inakuwa ngumu zaidi kwangu.

Nakomaa mpaka msuri unakatika lakini wapi ase kutoboa life bado ni ndoto.

Vijana wenzangu tufanye nini ili tutoboe mwaka ujao?

Sent using Jamii Forums mobile app
Man kila ki2 ni cha muda 2,bora wewe una ajira wengne hawana lkn wanaamini kesho itakuwa bora zaidi ya jana. Kama wanaume inatakiwa 2kazie fikra ze2 kwenye ndoto ze2, huku 2kipiga kazi kwa bidii na kutegemea mambo mazur zaidi na kupambana pale misukosuko ya maisha inapoibuka. Ni vzuri zaidi tukianza 2019 tukiwa tumejaa matumaini.
 
Man kila ki2 ni cha muda 2,bora wewe una ajira wengne hawana lkn wanaamini kesho itakuwa bora zaidi ya jana. Kama wanaume inatakiwa 2kazie fikra ze2 kwenye ndoto ze2, huku 2kipiga kazi kwa bidii na kutegemea mambo mazur zaidi na kupambana pale misukosuko ya maisha inapoibuka. Ni vzuri zaidi tukianza 2019 tukiwa tumejaa matumaini.
Nzuri hyo mawazo ya kiume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom