Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,759
Sisi huwa hatutukani wanawake. Ni mwiko kwetu. Sisi kwetu mwanamke akikutukana unamwambi asante. Kisha unamsubiriq kitandani. Basi. Atakuomba msamaha.Unabaki kusema nashukuru, kwani ulikuwa unabarikiwa?
Kutwa kujidai kidume humu jukwaani, kutunishiana misuli na wanajukwaa. Ila huko njia umelegea ka mlenda pori.
Unabaki kusema nashukuru, kwani ulikuwa unabarikiwa?
Kutwa kujidai kidume humu jukwaani, kutunishiana misuli na wanajukwaa. Ila huko njia umelegea ka mlenda pori.
Sasa waliomhonga gari walijua inatumia maji? Wampe na mafuta.....Mtavurugwa kinoma. Ila wala hajakuacha bali anakutishia. Ila kama ana-gut ya kukutukana hivyo we mshukuru Mungu tu maana hicho kikombe hukiwezi. Ila broo na wewe acha zongwa, wengine wamehonga gari, we mafuta tu yanakushinda?
Unabaki kusema nashukuru, kwani ulikuwa unabarikiwa?
Kutwa kujidai kidume humu jukwaani, kutunishiana misuli na wanajukwaa. Ila huko njia umelegea ka mlenda pori.
DaaahhhhSasa waliomhonga gari walijua inatumia maji? Wampe na mafuta.....
Mwonee huruma basi, jamaa ana majangaUnabaki kusema nashukuru, kwani ulikuwa unabarikiwa?
Kutwa kujidai kidume humu jukwaani, kutunishiana misuli na wanajukwaa. Ila huko nje umelegea ka mlenda pori.
Kauli ngumu sana hii!Eti usinipigie hesabu mshahara wangu. Kmmk