Mwaka mmoja CCM kwisha

Hiyo ndiyo kawaida yenu anayesema ukweli ni mnywa viroba,lkn ukweli mnaujua kuwa ccm sasa imebakia lumumba tu
Umesahau jambo moja tu kuhusu CCM kwamba ndicho chama tawala ktk nchi hii ya Tanzania hadi uchaguzi ujao.
 
Hahahaha UWONGO
 
We ndio lofa kweli! Tanzania upinzani ulishakufa tangu Dr Slaa alipoondoka!! Labda huko kwenu "Nsumbiji"
 
Tatizo ni kwamba hakuna chama mbadala. Ikiondoka CCM chama gani kitatawala? Kutakuwa na ombwe la uongozi na nchi itaingia katika misukosuko. Watanzania siyo wajinga. Wakiona chama mbadala bila shaka watakipa madaraka mara moja. Tuweni na subira!
 
We ndio lofa kweli! Tanzania upinzani ulishakufa tangu Dr Slaa alipoondoka!! Labda huko kwenu "Nsumbiji"
Tatizo lako na wana lumumba wenzako hesabu mlipata 0
 
Tatizo ni kwamba hakuna chama mbadala. Ikiondoka CCM chama gani kitatawala? Kutakuwa na ombwe la uongozi na nchi itaingia katika misukosuko. Watanzania siyo wajinga. Wakiona chama mbadala bila shaka watakipa madaraka mara moja. Tuweni na subira!
Akili ile ile ya zidumu fikra sahihi za mwenyekiti
 
Mtani naona unaandika bila break.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…