Mwaka mmoja baada ya Magufuli kufariki: TEMESA wanafeli kufanyia ukarabati vivuko vyao. Hii ni harufu ya ufisadi. TANROADS inafanya nini?

Awamu yake Magufuli kivuko cha Mv Nyerere kiliua watu zaidi ya 200 unapata wapi nguvu ya kumsifia kwenye nyanja hiyo?

Bora uhai kuliko kujifanya sijui mzalendo ,unawanyima wenye uwezo kutoa huduma huku huduma zako ni mbovu na mwisho wa siku unaua watu.
 
Awamu yake Magufuli kivuko cha Mv Nyerere kiliua watu zaidi ya 200 unapata wapi nguvu ya kumsifia kwenye nyanja hiyo?

Bora uhai kuliko kujifanya sijui mzalendo ,unawanyima wenye uwezo kutoa huduma huku huduma zako ni mbovu na mwisho wa siku unaua watu.
Na tunakumbuka lile chumachakavu MV Dar es Salaam alilokwenda kulificha jeshini kuwafunga mdomo watu wasihoji ufisadi wake

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapo mnasema huyu alikua kiongozi mzuri?

Kila kitu alitaka aonekane kafanya yeye hata kama sio mtaalam.

Rejea yale majibizano na yule mzee pale hospital Dodoma.
 
Leo hii baada mzee baba kuondoka na Mhandisi Mfugale kuondoka kwa utata wa mkubwa ambao ulishangaza dunia nzima. Leo hii Temesa wameanza fyongo. Maana kazi ndogo kama service sio ya kusababisha serikali kukodisha vivuko kwa gharama kubwa.

Hapa kutakuwa na namna.

Watanzania huu ndio wakati wa kutwangwa vitu vizito.
vi👇View attachment 2259792
TANROAD hawahusiki na vivuko mkuu
 
..unasema ni vivuko vya huyo uliyefariki.

..halafu unashangaa havifanyiwi ukarabati baada ya yeye kufariki.

..angekuwa amewashirikisha watu wengi zaidi ktk vision yake, na kuwa-empower kuwawezesha ktk kuitekeleza, haya unayoyalalamikia yasingetokea.
Good
 
..unasema ni vivuko vya huyo uliyefariki.

..halafu unashangaa havifanyiwi ukarabati baada ya yeye kufariki.

..angekuwa amewashirikisha watu wengi zaidi ktk vision yake, na kuwa-empower kuwawezesha ktk kuitekeleza, haya unayoyalalamikia yasingetokea.
Watu hawaogopi tena kuibaa hilo ndo tatizo
 
Leo hii baada mzee baba kuondoka na Mhandisi Mfugale kuondoka kwa utata wa mkubwa ambao ulishangaza dunia nzima. Leo hii Temesa wameanza fyongo. Maana kazi ndogo kama service sio ya kusababisha serikali kukodisha vivuko kwa gharama kubwa.

Hapa kutakuwa na namna.

Watanzania huu ndio wakati wa kutwangwa vitu vizito.
vi👇View attachment 2259792

Mwaka mmoja uongozi wa Samia, TEMESA wanafeli kufanyia ukarabati vivuko vyao.​

 
..unasema ni vivuko vya huyo uliyefariki.

..halafu unashangaa havifanyiwi ukarabati baada ya yeye kufariki.

..angekuwa amewashirikisha watu wengi zaidi ktk vision yake, na kuwa-empower kuwawezesha ktk kuitekeleza, haya unayoyalalamikia yasingetokea.
Si kweli kwamba hakuwashirikisha. Tatizo hapa ni kutaka viwe vya maslahi ya umma, wakati manyang'au yanaona upigaji wao unapotea.

Nchi ilikuwa ya wapigaji, magu asingekubalika hata angetenda mema kiasi gani.
 
Awamu yake Magufuli kivuko cha Mv Nyerere kiliua watu zaidi ya 200 unapata wapi nguvu ya kumsifia kwenye nyanja hiyo?

Bora uhai kuliko kujifanya sijui mzalendo ,unawanyima wenye uwezo kutoa huduma huku huduma zako ni mbovu na mwisho wa siku unaua watu.
Chanzo cha ajali ya Mv Nyerere ilikuwa nini? Tumia akili kujadilili ishu za wanaume
 
Back
Top Bottom