sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,612
- 2,147
Taifa dhaifu, mkuu wa nchi ni jinsia ke. Hapana kwakweli
Una uhakika?Temesa haipo tanroads, inajitegemea
Acha ujinga shenzi
Na tunakumbuka lile chumachakavu MV Dar es Salaam alilokwenda kulificha jeshini kuwafunga mdomo watu wasihoji ufisadi wakeAwamu yake Magufuli kivuko cha Mv Nyerere kiliua watu zaidi ya 200 unapata wapi nguvu ya kumsifia kwenye nyanja hiyo?
Bora uhai kuliko kujifanya sijui mzalendo ,unawanyima wenye uwezo kutoa huduma huku huduma zako ni mbovu na mwisho wa siku unaua watu.
TANROAD hawahusiki na vivuko mkuuLeo hii baada mzee baba kuondoka na Mhandisi Mfugale kuondoka kwa utata wa mkubwa ambao ulishangaza dunia nzima. Leo hii Temesa wameanza fyongo. Maana kazi ndogo kama service sio ya kusababisha serikali kukodisha vivuko kwa gharama kubwa.
Hapa kutakuwa na namna.
Watanzania huu ndio wakati wa kutwangwa vitu vizito.
vi👇View attachment 2259792
CHADEMA ndiyo walioharibu vivuko?Chadema watakwambia cha maana ni kumwachia Mbowe
Good..unasema ni vivuko vya huyo uliyefariki.
..halafu unashangaa havifanyiwi ukarabati baada ya yeye kufariki.
..angekuwa amewashirikisha watu wengi zaidi ktk vision yake, na kuwa-empower kuwawezesha ktk kuitekeleza, haya unayoyalalamikia yasingetokea.
Yule alijiweka kundi la MUNGUSasa hapo mnasema huyu alikua kiongozi mzuri?
Kila kitu alitaka aonekane kafanya yeye hata kama sio mtaalam.
Rejea yale majibizano na yule mzee pale hospital Dodoma.
Watu hawaogopi tena kuibaa hilo ndo tatizo..unasema ni vivuko vya huyo uliyefariki.
..halafu unashangaa havifanyiwi ukarabati baada ya yeye kufariki.
..angekuwa amewashirikisha watu wengi zaidi ktk vision yake, na kuwa-empower kuwawezesha ktk kuitekeleza, haya unayoyalalamikia yasingetokea.
Leo hii baada mzee baba kuondoka na Mhandisi Mfugale kuondoka kwa utata wa mkubwa ambao ulishangaza dunia nzima. Leo hii Temesa wameanza fyongo. Maana kazi ndogo kama service sio ya kusababisha serikali kukodisha vivuko kwa gharama kubwa.
Hapa kutakuwa na namna.
Watanzania huu ndio wakati wa kutwangwa vitu vizito.
vi👇View attachment 2259792
Si kweli kwamba hakuwashirikisha. Tatizo hapa ni kutaka viwe vya maslahi ya umma, wakati manyang'au yanaona upigaji wao unapotea...unasema ni vivuko vya huyo uliyefariki.
..halafu unashangaa havifanyiwi ukarabati baada ya yeye kufariki.
..angekuwa amewashirikisha watu wengi zaidi ktk vision yake, na kuwa-empower kuwawezesha ktk kuitekeleza, haya unayoyalalamikia yasingetokea.
Wewe ndio AKILI zako zinasemaChadema watakwambia cha maana ni kumwachia Mbowe
Chanzo cha ajali ya Mv Nyerere ilikuwa nini? Tumia akili kujadilili ishu za wanaumeAwamu yake Magufuli kivuko cha Mv Nyerere kiliua watu zaidi ya 200 unapata wapi nguvu ya kumsifia kwenye nyanja hiyo?
Bora uhai kuliko kujifanya sijui mzalendo ,unawanyima wenye uwezo kutoa huduma huku huduma zako ni mbovu na mwisho wa siku unaua watu.
Temesa haipo chini ya Tanroad?s?TANROAD hawahusiki na vivuko mkuu
Hujajibu swali, angemshirikisha nani kwa mfano?..alikuwa " one man show . "
..serikali na chama vilikuwa mali yake.
..nchi na raia wote walikuwa kama miliki yake.
Big no hizo zote ni taasisi zinazojitegemea na zote zinawatendaji wakuu wa kuteuliwa na Rais japo wote wapo chini ya Wizara ya ujenziTemesa haipo chini ya Tanroad?s?
Ukitumia akili yako vizuri huwezi kuisifia awamu ambayo ilitokea ajali dhidi ya ambayo haijatokea hata kama sababu haikuwa ubovu.Chanzo cha ajali ya Mv Nyerere ilikuwa nini? Tumia akili kujadilili ishu za wanaume