PreGE2025 Mwaka huu utapiga kura?

PreGE2025 Mwaka huu utapiga kura?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Labda nije nifukuliwe kaburini nikapigishwe hiyo kura lkn nikiwa hai siwezi kwenda kupiga kura.
Kadi ninayo lkn siwezi;
Sababu ni baadhi ya watu kuwaona wenzao kama mapunguani na wao ndio wenye hati miliki na hii nchi, wengine waliobaki ni wakimbizi ktk nchi hii.
 
Labda kama huna kazi yoyote ya kufanya. Labda iwe hivi...ukienda kwa kituo ukipiga kura unaomdoka na wekundu wa msimbazi na pepsi ya baridi - ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom