napiga kura asubuhi na mapemaKwa hali halisi iliyopo kuelekea uchaguzi mkuu wa oktoba 2025 vipi mdau utapiga kura? Ni ikitokea kama hutopiga kura tuambie tatizo ni nini?
huo ujinga wa lissu ndiyo utufanye tusipige kura kweli are you serious?Mwaka huu hakuna uchaguzi, kwahiyo hakuna mtanzania atakayepiga kura. Hujaisikia kampeni ya NO REFORMS NO ELECTION?
safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiLISSU na HECHE ndio hawatopiga lakini sisi sote tutapiga kura kama kawaida.
Ni kupoteza mudaKwa hali halisi iliyopo kuelekea uchaguzi mkuu wa oktoba 2025 vipi mdau utapiga kura? Ni ikitokea kama hutopiga kura tuambie tatizo ni nini?
Umoja wa Ulaya wameunga mkono hoja hiyo kampeni ya Lisu. Wewe ni nai hadi upinge? Wazugu na akili zao wameunga mkono wewe nani upinge?huo ujinga wa lissu ndiyo utufanye tusipige kura kweli are you serious?