Hatuwezi kuendelea tena kudanganywa na kupumbazwa na watawala waliovimbiwa utajiri wa Nchi hii.
Mwaka huu tunahitaji Rais kama alivyo Ibrahim Traore. Inakuwaje kijana mdogo tu Ibrahim Traore ndani ya muda mfupi amefanya Maendeleo makubwa kabisa katika Nchi yake lakini sisi watu wazima bado tunajikongoja tu?
Bado tunaendelea kudanganyana tu? Inakuwaje katika Nchi yenye rasilimali za kila aina watu wake bado ni maskini kabisa lakini viongozi tu ndo wenye utajiri wa kutupwa?
Binafsi naona ni mara mia zaidi tupate Rais Dictator lakini:-
1. Mzalendo wa kweli wa Nchi hii.
2. Ana maono, nguvu na ujasiri usiotiliwa shaka wa kulinda na kuzitumia rasilimali za Nchi yetu kwa manufaa ya Watanzania.
3. Asiyeweza kumwacha salama FISADI hata kwa dakika chache.
Watu wenye sifa za Ibrahim Traore wapo wengi tu hapa Tanzania isipokuwa hatuwapi nafasi kwa kuhofia ufisadi wetu tutaupeleka wapi.
Mungu atuongoze kubadili mindset zetu na hatimaye tumpe Ibrahim Traore wa Tanzania.
Mwaka huu tunahitaji Rais kama alivyo Ibrahim Traore. Inakuwaje kijana mdogo tu Ibrahim Traore ndani ya muda mfupi amefanya Maendeleo makubwa kabisa katika Nchi yake lakini sisi watu wazima bado tunajikongoja tu?
Bado tunaendelea kudanganyana tu? Inakuwaje katika Nchi yenye rasilimali za kila aina watu wake bado ni maskini kabisa lakini viongozi tu ndo wenye utajiri wa kutupwa?
Binafsi naona ni mara mia zaidi tupate Rais Dictator lakini:-
1. Mzalendo wa kweli wa Nchi hii.
2. Ana maono, nguvu na ujasiri usiotiliwa shaka wa kulinda na kuzitumia rasilimali za Nchi yetu kwa manufaa ya Watanzania.
3. Asiyeweza kumwacha salama FISADI hata kwa dakika chache.
Watu wenye sifa za Ibrahim Traore wapo wengi tu hapa Tanzania isipokuwa hatuwapi nafasi kwa kuhofia ufisadi wetu tutaupeleka wapi.
Mungu atuongoze kubadili mindset zetu na hatimaye tumpe Ibrahim Traore wa Tanzania.