Mwenyezi Mungu anajua kila kitu?Mwenyezi Mungu amua juu ya hili twakuomba
Mungu wangu mimi sijui wa kwako weweMwenyezi Mungu anajua kila kitu?
Kama yameshindika ..kabisa kupata solution...FANYA TU .Lete Maneno
wa kwako anajua kila kitu?Mungu wangu mimi sijui wa kwako wewe
Ndoa ikishafikia hivi kuendelea ni ngumu na mkilazimisha sana ndio mambo ya gunia la mkaa au kuchomana visu yanatokea
Chai ya moto utapona hayo mengine kupelekana ahera kabisaUsisahau kumwagiwa chai ya moto pia.
Umwombe Mungu mwenzio nae awe anataka ivunjikeNa mpango wa kuivunja ndoa yangu mwaka ujao kwa kuto kuelewana ndani ya ndoa yetu na mwenzangu miaka mitatu sasa hatuelewani