mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,969 6,460 Nov 22, 2016 #1 Najaribu kuwaza tu watanzania walivyo wepesi na wasahaulifu
F Farudume JF-Expert Member Jan 10, 2013 3,946 3,685 Nov 22, 2016 #2 Kadri muda unavyopita ndivyo watu wanavyozidi kuelimika.Kadri watu wanavyoelimika ndivyo uongo unavyozidi kubainika.
Kadri muda unavyopita ndivyo watu wanavyozidi kuelimika.Kadri watu wanavyoelimika ndivyo uongo unavyozidi kubainika.
Muyobhyo JF-Expert Member Oct 9, 2014 8,149 6,535 Nov 22, 2016 #3 washakwambia wana mbinu 100, hapo zimechezeshwa kama 5 tu
mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,969 6,460 Nov 22, 2016 Thread starter #5 Farudume said: Kadri muda unavyopita ndivyo watu wanavyozidi kuelimika.Kadri watu wanavyoelimika ndivyo uongo unavyozidi kubainika. Click to expand... Mkuu rejea yule wa maisha bora 1995 na 2000
Farudume said: Kadri muda unavyopita ndivyo watu wanavyozidi kuelimika.Kadri watu wanavyoelimika ndivyo uongo unavyozidi kubainika. Click to expand... Mkuu rejea yule wa maisha bora 1995 na 2000