Mwafrika ni nyani akiyechangamka

Mwafrika ni nyani akiyechangamka

Viongozi wengi wa kiAfrica wanajali maslahi yao kwanza ndo mengine yafuate.
 
Nyani nyingine hii hapa
Huyu mdau anaitwa kithure kindiki (now ni cabinet minister wa interior 🇰🇪) ,mwaka 2018 akiwa senator aliruka
1B4B82E7-3631-44E6-B7D6-1DAE8B2C0AA9.jpeg
na helicopter kutoka Nairobi kwenda Tharaka nthi kusaidia ujenzi wa darasa la matope
FB9ECA57-51D6-4629-9F08-4110F5D3E0EF.jpeg
7C6C1109-4F70-4658-9FFE-0AD0E2419633.jpeg
 
Mtoto wa George Wheah ambaye ni rais wa Liberia nchi iliyoko Africa aenda kuchezea timu ya mpira wa miguu ya Marekani na Baba yake yuko comfortable kabisa!

Yaani hata familia ya rais wa Liberia haiamini katika taifa analoliongoza rais wao.

Hii inatokea Africa tu
Mkuu uliwahi kulinganisha benders ya Marekani na ya Liberia? Mkuu unsjua kuwa mwanamke mmarekani amewahi kuwa raisi wa Liberia?
 
Kiukwel kupitia matendo ya viongoz wetu wa nchi za kiafrika anzia Uganda rwanda na nch zote za kiafrika matendo yao yanafanana Sana kujipendelea kutotaka Kutoka madarakani kufuja pesa za uma kwa matumiz binafsi upendeleo wa Kaz za umma

Mambo haya yote yanafanya tuonekane wapuuzi

Viongoz wetu hawapend kushauriwa Wala kuchukua hatua had pale mambo yakiharibika

Tatizo la maji Tanzania kila mtu anashangaa tuna maziwa makuu 3 viktoria tanganyika na nyasa bado maziwa madogo madogo lakn ajabu hapo mwanza kigoma au Ruvuma wanatatizo la maji

Wakat wa tatzo la maji hapa dsm dawasa walitoa tangazo wenye visima wasiuze maji Sasa unajiuliza Hawa n watu au nyani.
The problems of Africa are the Africans themselves. The moment you rise up against this, Your own people will Betray you and hand you over to the enemies... Poor Africa!! and we are doomed to remain poor till eternal...
 
Kiukwel kupitia matendo ya viongoz wetu wa nchi za kiafrika anzia Uganda rwanda na nch zote za kiafrika matendo yao yanafanana Sana kujipendelea kutotaka Kutoka madarakani kufuja pesa za uma kwa matumiz binafsi upendeleo wa Kaz za umma

Mambo haya yote yanafanya tuonekane wapuuzi

Viongoz wetu hawapend kushauriwa Wala kuchukua hatua had pale mambo yakiharibika

Tatizo la maji Tanzania kila mtu anashangaa tuna maziwa makuu 3 viktoria tanganyika na nyasa bado maziwa madogo madogo lakn ajabu hapo mwanza kigoma au Ruvuma wanatatizo la maji

Wakat wa tatzo la maji hapa dsm dawasa walitoa tangazo wenye visima wasiuze maji Sasa unajiuliza Hawa n watu au nyani.
Tunatengeneza matatizo ili tuje tumsifie mtu kwa kuyatatua.
Kuna mambo ukiyatafakari sana unaweza ukawa unaongea mwenyewe njiani.
Mwafrika ni umbwa mkubwa kasoro mkia
 
Kiukwel kupitia matendo ya viongoz wetu wa nchi za kiafrika anzia Uganda rwanda na nch zote za kiafrika matendo yao yanafanana Sana kujipendelea kutotaka Kutoka madarakani kufuja pesa za uma kwa matumiz binafsi upendeleo wa Kaz za umma

Mambo haya yote yanafanya tuonekane wapuuzi

Viongoz wetu hawapend kushauriwa Wala kuchukua hatua had pale mambo yakiharibika

Tatizo la maji Tanzania kila mtu anashangaa tuna maziwa makuu 3 viktoria tanganyika na nyasa bado maziwa madogo madogo lakn ajabu hapo mwanza kigoma au Ruvuma wanatatizo la maji

Wakat wa tatzo la maji hapa dsm dawasa walitoa tangazo wenye visima wasiuze maji Sasa unajiuliza Hawa n watu au nyani.
Aisee tafadhali kabisa. Nyani kama nyani ni mnyama mwenye akili nyingi sana na anietendea haki akili yake katika kujiletea ustawi wa jamii inayomzunguka. Usifananishe nyani na binadamu tena mwafrika

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Tena afadhali Nyani, anaweza kumudu kuiba mahindi akalisha famila yake. These so called presidents can not make any tangible achievements for their people!@ Yapo ku consolidate power kutawala milele!

Nilisema kama kuna kosa kubwa, tena kubwa alilifanya Mungu ni Kumuumba mwafrika!
Kama huyu mwingine..
Screenshot_20221115-215106.jpg
 
Back
Top Bottom