Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,299
- 15,026
Kiukwel kupitia matendo ya viongoz wetu wa nchi za kiafrika anzia Uganda rwanda na nch zote za kiafrika matendo yao yanafanana Sana kujipendelea kutotaka Kutoka madarakani kufuja pesa za uma kwa matumiz binafsi upendeleo wa Kaz za umma
Mambo haya yote yanafanya tuonekane wapuuzi
Viongoz wetu hawapend kushauriwa Wala kuchukua hatua had pale mambo yakiharibika
Tatizo la maji Tanzania kila mtu anashangaa tuna maziwa makuu 3 viktoria tanganyika na nyasa bado maziwa madogo madogo lakn ajabu hapo mwanza kigoma au Ruvuma wanatatizo la maji
Wakat wa tatzo la maji hapa dsm dawasa walitoa tangazo wenye visima wasiuze maji Sasa unajiuliza Hawa n watu au nyani.
Mambo haya yote yanafanya tuonekane wapuuzi
Viongoz wetu hawapend kushauriwa Wala kuchukua hatua had pale mambo yakiharibika
Tatizo la maji Tanzania kila mtu anashangaa tuna maziwa makuu 3 viktoria tanganyika na nyasa bado maziwa madogo madogo lakn ajabu hapo mwanza kigoma au Ruvuma wanatatizo la maji
Wakat wa tatzo la maji hapa dsm dawasa walitoa tangazo wenye visima wasiuze maji Sasa unajiuliza Hawa n watu au nyani.