Kuna kautofauti kidogo mkuu kuna mmoja amekomaa mpaka machoSasa huyu na Polepole tofauti nini
Nadhani ni nature yetu tuu, revolution bado inafanya kazi watoto wanaozaliwa sikuizi wanasura mororo


eti revolutionHev goalkeeper anaekipga europeUgumu wa maisha nao huwa unachangia
Huko europ kaenda lini mkuu? Isijekua mtu ana mwaka mmoja tuHev goalkeeper anaekipga europe
Tena laliga inamaana hata gol keep
Wa TP mazembe anaweza kumpita
kwa maisha mazur
![]()
![]()
![]()
![]()
Age is nothing but a number!
Huyu akifikisha 30 atakuwa sawa na Mugabe!

Hahah hapa hapana, fuvu halidanganyi.
Sura ya mchezaji haisadifu yaliyomoAmeyumbaje mkuu
![]()