Muafaka, muafaka ! jamani kwani siku zote tulikuwa tunaishi vipi ? vitu vingine bana vinachefua na kuongeza matatizo tu !
this argument is taking a toll on our people. Hili ni suala muhimu but at the same time shitty as well, kama sio watu kujinufaisha kisiasa basi ni umbumbumbu tu wa viongozi wetu ! Get together and finish this argument up nyinyi viongozi tanzania !
Kada haupo TZ,nakama upo TZ then sias ya TZ iko pembeni,hivi hujui matatizo ya ZNZ uje ulize leo eti kwani walikua wanaishije,hivi huji kama kulikua na wizi wa kura ktk uchaguzi wa 2005?Hujui kama kuna watu walipoteza maisha na wengine kujeruhiwa?Sema lingine lakini sio suala la kwanini muafaka babdo unahitajika.
Hili suala la Muafaka tulisema mapema kabisa kwamba kwa sisiem hii itakua ngoma nzito si tunawajua CCM bwana.
Jamni nasikia kuwa Mkapa,Mzee Mwinyi, Salim na Salmin hawajahudhuria huko?kwa nini iwe hivi?
Jamni nasikia kuwa Mkapa,Mzee Mwinyi, Salim na Salmin hawajahudhuria huko?kwa nini iwe hivi?
..wana udhuru!
kwa kiswahili sanifu tunasema wamejikata na mapema maana kuna hatari ya mtu kuumbuliwa na kundi lake na ikawa mwanzo wa kukurupushwa ,hivyo kutokuwepo kwao kutapunguza kasi hasira na nguvu za kundi la wahenga.
Muafaka, muafaka ! jamani kwani siku zote tulikuwa tunaishi vipi ? vitu vingine bana vinachefua na kuongeza matatizo tu !
suala nadhani sio kuishi cuba au hawaii, bali ninachojaribu kuuliza ni kwamba, kabla ya kusikia malalamiko ya muafaka hapo awali, tulikuwa tumeweza kuishi vipi iweje sasa hivi kuwe kugumu kiasi hiki bila ya kupita siku 2 tukasikia tena the same kind of shi*tty arguments kama hizi za muungano ? this argument is taking a toll on our people. Hili ni suala muhimu but at the same time shitty as well, kama sio watu kujinufaisha kisiasa basi ni umbumbumbu tu wa viongozi wetu ! Get together and finish this argument up nyinyi viongozi tanzania !