Mwacheni Mh Rais afanye kazi

Mwacheni Mh Rais afanye kazi

Ekyoma

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
2,177
Reaction score
2,805
Habari zenu wanaukawa, wanacmm na watanzania kwa ujumla wasio na vyama kama mimi.

Kumekuwa na mabandiko yasiyo na idadi katika jukwaa letu pendwa hili ya kumpinga na kumkosoa mh Rais mimi nasema tumwache afanye kazi na tumsaport kwan miaka mitano iliyopita kwenye jukwaa hilihili na wachangiaji walewale kwa mabandiko kibao walisema Mh Kikwete Rais wa awamu iliyopita nchi imemshinda na wengine wakafika mbali zaidi wakasema nchi hii inaitaji kuongozwa na mtu mwenye element za kidikteta. Mungu katupa Rais tuliyemtaka sasa kelele za nini. Kwa nin nasema Rais tuliyemtaka;

1. Kuuza majengo ya serkali yaliyopo Dar serikali ikishaamia Dodoma na kujenga majengo ya aina iyo Dom kwa ili mkuu wa nchi apongezwe tatizo ni kuyauza na asijenge ila ana jenge tena ya aina iyo au zaidi yake sasa nyie mnaotaka yasiuzwe mnataka yajae popo au!, eti kuna wengine wanapendekeza yapangishwe ndg zangu serkali haifanyi biashara aisee wana Dar es salaam lazima tuanze kubadil mentality Dar inabaki kua mji wa biashara tu.

2. Tulitaka Rais dikteta Mungu katupatia ambaye ata robo ya dikteta afiki je tungepewa uyo full dikteta si mngeishakimbia nchi. Tungepewa yule full dicteta ambaye ukitaja kidogo kutaka uenyeki wa chama ujue utafte mlango wa kutokea ingekuwaje.

3.Kuzuia siasa miaka kumi iliyopita chini ya Rais wetu kipenzi Mh kikwete mlipewa nafasi ya kutosha mwisho mkataka kuipeleka nchi pabaya kama si uwezo wa yule mzee kisiasa sijui tungekuwa wap mkatuaminisha mafisadi papa leo ndo mnataka kuwapa nchi chini ya chama chenu alafu mnataka kutuletea siasa uchwara wakati wa kaz ebu tupen mda tufanye kazi mtatuletea hao mafisadi papa 2020 ili tuwakatae tena.

Tumwache mh Rais afanye kaz kwani anatekeleza yale aliyotuaidi alisema atadeal na ufisadi sote ni mashahidi. Wateule wake wakizingua hawaamishii sehem nyingine zaidi ya kuwatimua tunaona, elimu bure tunaona, uwajibikaji serikalini tunaona sasa kelele za nini
 
Labda mie ndio sijasikia vizuri...hebu nisaidie...kuna mahali ukawa wametangaza maandamano kwenda ikulu kumzuia rais kufanya kazi? Je wametangaza nia ya kumpindua? Chini ya JK kulikua na uhuru wa vyama kufanya shughuli zao za kisiasa (ambazo zinaruhusiwa na sheria)..je kwa hiyo miaka 10 ya JK inamaana hakufanya kazi?
 
Upo sahihi kabisa,tumwache mkuu apige kazi full stop...hawa wanaompinga hata mimi nipo tayari kuwa shungulikia
 
Rais huyu unapiga sana kelele na kutisha raia. Afu anafanya kazi alizo kua anafanya kinana huku akizuia wapinzani wake wasifanye siasa. Huo ni ubinafsi wa hali ya juu.. Akitaka aungwe mkono abadili stail yake.. Mpaka sasa anaonekana ni Rais asiye jiamin na kutuma ubabe na kutisha wananchi anaona ndio njia pekee. Kiufupi sijui anatupeleka wapi
 
Rais huyu unapiga sana kelele na kutisha raia. Afu anafanya kazi alizo kua anafanya kinana huku akizuia wapinzani wake wasifanye siasa. Huo ni ubinafsi wa hali ya juu.. Akitaka aungwe mkono abadili stail yake.. Mpaka sasa anaonekana ni Rais asiye jiamin na kutuma ubabe na kutisha wananchi anaona ndio njia pekee. Kiufupi sijui anatupeleka wapi

umeonaee. halafu inamaana CCM wanaokoa hela ambazo angetumia kinana kuzunguka nchi nzima...badala yake inatumika hela ya serikali. Huku anazuia wapinzani wao wasifanye shughuli za kisiasa. Eti waliochaguliwa wafanye mikutano kwenye maeneo yao. Swali linakua hivi: Je vyama ambavyo havina mtu aliyechaguliwa inamaana havina haki ya kufanya mikutano mpaka kampeni za 2020?
 
Tumuache afanye kazi, kwani kazi ipi anayoifanya? Kwa kadri inavyozidi kudhihirika ni kwamba hana mkakati wowote na kwa hiyo basi kufanya jambo bila mkakati ni kutokufanya kazi sababu huna malengo yanayojulikana.
 
Wengi wetu hata wakipewa ujumbe wa nyumba kumikumi hawawezi lakini pa mlomo kha!,mwacheni Magufuli afanye kazi,chapa kazi Magufuli baba tunakuamini.
 
Sawa basi kama kusoma hamuwezi tunawachorea picha mtaelewa tu
1469981418981.jpg
 
Nani kamziua? Yeye afanye kazi yake na wengine pia awaache wafanye kazi, woga wa nini sasa? Mmoja anatekeleza ilani ya uchaguzi na mwingine anacheki mapungufu ili kujijenga 2020 ili Wananchi wamwamini. Sasa kuzuiana kumega tonge mezani sio fresh . Kazi iwe kwa wote na si kwake tu.
 
Hakuna kazi anayoifanya zaidi ya kutaka watu waseme uongo mahakamani kama yeye alivyolidanganya Bunge, vinginevyo anatengua teuzi zao. Kukurupuka na mwendo kasi matokeo yake sukari bei juu, ongezeko la maisha magumu kwa kasi ya kutisha, uchumi wa nchi kuanguka, kutoka vitisho kila kukicha, kujiona yeye ni Mungu hastahili kukosolewa. Huwezi ukaendesha Serikali kwa kukurupuka na kuwa one man show government. Hafai huyu ni janga la Taifa. Mwambieni abadilike tena abadilike haraka sana vinginevyo ataiingiza nchi kwenye giza nene.

Ni janga kubwa la Taifa huyu.

Habari zenu wanaukawa, wanacmm na watanzania kwa ujumla wasio na vyama kama mimi.

Kumekuwa na mabandiko yasiyo na idadi katika jukwaa letu pendwa hili ya kumpinga na kumkosoa mh Rais mimi nasema tumwache afanye kazi na tumsaport kwan miaka mitano iliyopita kwenye jukwaa hilihili na wachangiaji walewale kwa mabandiko kibao walisema Mh Kikwete Rais wa awamu iliyopita nchi imemshinda na wengine wakafika mbali zaidi wakasema nchi hii inaitaji kuongozwa na mtu mwenye element za kidikteta. Mungu katupa Rais tuliyemtaka sasa kelele za nini. Kwa nin nasema Rais tuliyemtaka;

1. Kuuza majengo ya serkali yaliyopo Dar serikali ikishaamia Dodoma na kujenga majengo ya aina iyo Dom kwa ili mkuu wa nchi apongezwe tatizo ni kuyauza na asijenge ila ana jenge tena ya aina iyo au zaidi yake sasa nyie mnaotaka yasiuzwe mnataka yajae popo au!, eti kuna wengine wanapendekeza yapangishwe ndg zangu serkali haifanyi biashara aisee wana Dar es salaam lazima tuanze kubadil mentality Dar inabaki kua mji wa biashara tu.

2. Tulitaka Rais dikteta Mungu katupatia ambaye ata robo ya dikteta afiki je tungepewa uyo full dikteta si mngeishakimbia nchi. Tungepewa yule full dicteta ambaye ukitaja kidogo kutaka uenyeki wa chama ujue utafte mlango wa kutokea ingekuwaje.

3.Kuzuia siasa miaka kumi iliyopita chini ya Rais wetu kipenzi Mh kikwete mlipewa nafasi ya kutosha mwisho mkataka kuipeleka nchi pabaya kama si uwezo wa yule mzee kisiasa sijui tungekuwa wap mkatuaminisha mafisadi papa leo ndo mnataka kuwapa nchi chini ya chama chenu alafu mnataka kutuletea siasa uchwara wakati wa kaz ebu tupen mda tufanye kazi mtatuletea hao mafisadi papa 2020 ili tuwakatae tena.

Tumwache mh Rais afanye kaz kwani anatekeleza yale aliyotuaidi alisema atadeal na ufisadi sote ni mashahidi. Wateule wake wakizingua hawaamishii sehem nyingine zaidi ya kuwatimua tunaona, elimu bure tunaona, uwajibikaji serikalini tunaona sasa kelele za nini
 
Habari zenu wanaukawa, wanacmm na watanzania kwa ujumla wasio na vyama kama mimi.

Kumekuwa na mabandiko yasiyo na idadi katika jukwaa letu pendwa hili ya kumpinga na kumkosoa mh Rais mimi nasema tumwache afanye kazi na tumsaport kwan miaka mitano iliyopita kwenye jukwaa hilihili na wachangiaji walewale kwa mabandiko kibao walisema Mh Kikwete Rais wa awamu iliyopita nchi imemshinda na wengine wakafika mbali zaidi wakasema nchi hii inaitaji kuongozwa na mtu mwenye element za kidikteta. Mungu katupa Rais tuliyemtaka sasa kelele za nini. Kwa nin nasema Rais tuliyemtaka;

1. Kuuza majengo ya serkali yaliyopo Dar serikali ikishaamia Dodoma na kujenga majengo ya aina iyo Dom kwa ili mkuu wa nchi apongezwe tatizo ni kuyauza na asijenge ila ana jenge tena ya aina iyo au zaidi yake sasa nyie mnaotaka yasiuzwe mnataka yajae popo au!, eti kuna wengine wanapendekeza yapangishwe ndg zangu serkali haifanyi biashara aisee wana Dar es salaam lazima tuanze kubadil mentality Dar inabaki kua mji wa biashara tu.

2. Tulitaka Rais dikteta Mungu katupatia ambaye ata robo ya dikteta afiki je tungepewa uyo full dikteta si mngeishakimbia nchi. Tungepewa yule full dicteta ambaye ukitaja kidogo kutaka uenyeki wa chama ujue utafte mlango wa kutokea ingekuwaje.

3.Kuzuia siasa miaka kumi iliyopita chini ya Rais wetu kipenzi Mh kikwete mlipewa nafasi ya kutosha mwisho mkataka kuipeleka nchi pabaya kama si uwezo wa yule mzee kisiasa sijui tungekuwa wap mkatuaminisha mafisadi papa leo ndo mnataka kuwapa nchi chini ya chama chenu alafu mnataka kutuletea siasa uchwara wakati wa kaz ebu tupen mda tufanye kazi mtatuletea hao mafisadi papa 2020 ili tuwakatae tena.

Tumwache mh Rais afanye kaz kwani anatekeleza yale aliyotuaidi alisema atadeal na ufisadi sote ni mashahidi. Wateule wake wakizingua hawaamishii sehem nyingine zaidi ya kuwatimua tunaona, elimu bure tunaona, uwajibikaji serikalini tunaona sasa kelele za nini
Hahaha sina habare Na mtu huyo.....
 
Nadhani unamaanisha tumwache aendelee na matamko. Matokeo ya kazi hatuyaoni.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji85] asante sana mkuu this thread is official closed[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji13] [emoji13] [emoji15] [emoji37] [emoji123] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji37]
 
Habari zenu wanaukawa, wanacmm na watanzania kwa ujumla wasio na vyama kama mimi.

Kumekuwa na mabandiko yasiyo na idadi katika jukwaa letu pendwa hili ya kumpinga na kumkosoa mh Rais mimi nasema tumwache afanye kazi na tumsaport kwan miaka mitano iliyopita kwenye jukwaa hilihili na wachangiaji walewale kwa mabandiko kibao walisema Mh Kikwete Rais wa awamu iliyopita nchi imemshinda na wengine wakafika mbali zaidi wakasema nchi hii inaitaji kuongozwa na mtu mwenye element za kidikteta. Mungu katupa Rais tuliyemtaka sasa kelele za nini. Kwa nin nasema Rais tuliyemtaka;

1. Kuuza majengo ya serkali yaliyopo Dar serikali ikishaamia Dodoma na kujenga majengo ya aina iyo Dom kwa ili mkuu wa nchi apongezwe tatizo ni kuyauza na asijenge ila ana jenge tena ya aina iyo au zaidi yake sasa nyie mnaotaka yasiuzwe mnataka yajae popo au!, eti kuna wengine wanapendekeza yapangishwe ndg zangu serkali haifanyi biashara aisee wana Dar es salaam lazima tuanze kubadil mentality Dar inabaki kua mji wa biashara tu.

2. Tulitaka Rais dikteta Mungu katupatia ambaye ata robo ya dikteta afiki je tungepewa uyo full dikteta si mngeishakimbia nchi. Tungepewa yule full dicteta ambaye ukitaja kidogo kutaka uenyeki wa chama ujue utafte mlango wa kutokea ingekuwaje.

3.Kuzuia siasa miaka kumi iliyopita chini ya Rais wetu kipenzi Mh kikwete mlipewa nafasi ya kutosha mwisho mkataka kuipeleka nchi pabaya kama si uwezo wa yule mzee kisiasa sijui tungekuwa wap mkatuaminisha mafisadi papa leo ndo mnataka kuwapa nchi chini ya chama chenu alafu mnataka kutuletea siasa uchwara wakati wa kaz ebu tupen mda tufanye kazi mtatuletea hao mafisadi papa 2020 ili tuwakatae tena.

Tumwache mh Rais afanye kaz kwani anatekeleza yale aliyotuaidi alisema atadeal na ufisadi sote ni mashahidi. Wateule wake wakizingua hawaamishii sehem nyingine zaidi ya kuwatimua tunaona, elimu bure tunaona, uwajibikaji serikalini tunaona sasa kelele za nini
Kwani nani anamzuia?
 
Huyu Mh. MAGUFULI ni mchapa kazi kweli kweli. Hana longo longo. Mbona kila anachosema kinatekelezeka, mambo yote haya e.g. Kufuta mafisafi, kuimatisha sector ya afya, elimu, ulinzi, uchumi kuanzia mapato na zaidi ya haya tunayaona. Kila kukicha kuna good news tena kwa manufaa ya umma.

Kuna kundi la wachache sana linajaribu kumvuta ili asilete maendeleo. Lakini tuna uhakika kuwa halina nguvu.

Na tazama leo tuns Makao Makuu ya Nchi yetu nayo ni Dodoma. Dodoma kuna makao makuu ya kanisa la Anglikana, EAGT, pia kuna Msikiti mkubwa wa Gadafi. Kituo kikubwa cha kumbukumbu na nyaraka, vyuo vingi tu kama St. Johns, UDOM, Mipango, Serikali za Mitaa- Homboro na vingine ambavyo ni nyeti. Katoliki nao wanajenga chuo kikubwa sana Ihumwa. Kuna majengo mazuri ya Benk Kuu, Treasury, LAPF, Bunge, NHC, ......

Tujipange tu kuwa na barabara pana, kusiwe na maeneo ya mfano wa uwanja wa fisi au kusipopitika. Kuwe na miundo mbinu mizuri ya maji safi na taka sio kama ya Dar. Bodaboda ni tatizo na tujipange kuwakabili.

Kwa Magufuli hakuna maisha ya kibongo bali HAPA NI KAZI TU. waliokuwa legelege na wapigaji ma deals ndio wanakurupushwa. Tunawaona humu wao wana muda mwingi humu wa kulalamika tu badala ya kufanya kazi.
 
Labda mie ndio sijasikia vizuri...hebu nisaidie...kuna mahali ukawa wametangaza maandamano kwenda ikulu kumzuia rais kufanya kazi? Je wametangaza nia ya kumpindua? Chini ya JK kulikua na uhuru wa vyama kufanya shughuli zao za kisiasa (ambazo zinaruhusiwa na sheria)..je kwa hiyo miaka 10 ya JK inamaana hakufanya kazi?
Ww utakua ni mwanafunzi wa special plogram kule dodoma kwa akili zako unadhani kuandamana kwenda ikulu pekee ndo kunaweza kusababisha kusumbua popote Rais ni watanzania nzima popote mtakapo andamana kukapeleakea watu kutofanya kaz zao ipasavyo ni shida ndo mana nasema tumwache afanye kaz
 
Back
Top Bottom