Ekyoma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,177
- 2,805
Habari zenu wanaukawa, wanacmm na watanzania kwa ujumla wasio na vyama kama mimi.
Kumekuwa na mabandiko yasiyo na idadi katika jukwaa letu pendwa hili ya kumpinga na kumkosoa mh Rais mimi nasema tumwache afanye kazi na tumsaport kwan miaka mitano iliyopita kwenye jukwaa hilihili na wachangiaji walewale kwa mabandiko kibao walisema Mh Kikwete Rais wa awamu iliyopita nchi imemshinda na wengine wakafika mbali zaidi wakasema nchi hii inaitaji kuongozwa na mtu mwenye element za kidikteta. Mungu katupa Rais tuliyemtaka sasa kelele za nini. Kwa nin nasema Rais tuliyemtaka;
1. Kuuza majengo ya serkali yaliyopo Dar serikali ikishaamia Dodoma na kujenga majengo ya aina iyo Dom kwa ili mkuu wa nchi apongezwe tatizo ni kuyauza na asijenge ila ana jenge tena ya aina iyo au zaidi yake sasa nyie mnaotaka yasiuzwe mnataka yajae popo au!, eti kuna wengine wanapendekeza yapangishwe ndg zangu serkali haifanyi biashara aisee wana Dar es salaam lazima tuanze kubadil mentality Dar inabaki kua mji wa biashara tu.
2. Tulitaka Rais dikteta Mungu katupatia ambaye ata robo ya dikteta afiki je tungepewa uyo full dikteta si mngeishakimbia nchi. Tungepewa yule full dicteta ambaye ukitaja kidogo kutaka uenyeki wa chama ujue utafte mlango wa kutokea ingekuwaje.
3.Kuzuia siasa miaka kumi iliyopita chini ya Rais wetu kipenzi Mh kikwete mlipewa nafasi ya kutosha mwisho mkataka kuipeleka nchi pabaya kama si uwezo wa yule mzee kisiasa sijui tungekuwa wap mkatuaminisha mafisadi papa leo ndo mnataka kuwapa nchi chini ya chama chenu alafu mnataka kutuletea siasa uchwara wakati wa kaz ebu tupen mda tufanye kazi mtatuletea hao mafisadi papa 2020 ili tuwakatae tena.
Tumwache mh Rais afanye kaz kwani anatekeleza yale aliyotuaidi alisema atadeal na ufisadi sote ni mashahidi. Wateule wake wakizingua hawaamishii sehem nyingine zaidi ya kuwatimua tunaona, elimu bure tunaona, uwajibikaji serikalini tunaona sasa kelele za nini
Kumekuwa na mabandiko yasiyo na idadi katika jukwaa letu pendwa hili ya kumpinga na kumkosoa mh Rais mimi nasema tumwache afanye kazi na tumsaport kwan miaka mitano iliyopita kwenye jukwaa hilihili na wachangiaji walewale kwa mabandiko kibao walisema Mh Kikwete Rais wa awamu iliyopita nchi imemshinda na wengine wakafika mbali zaidi wakasema nchi hii inaitaji kuongozwa na mtu mwenye element za kidikteta. Mungu katupa Rais tuliyemtaka sasa kelele za nini. Kwa nin nasema Rais tuliyemtaka;
1. Kuuza majengo ya serkali yaliyopo Dar serikali ikishaamia Dodoma na kujenga majengo ya aina iyo Dom kwa ili mkuu wa nchi apongezwe tatizo ni kuyauza na asijenge ila ana jenge tena ya aina iyo au zaidi yake sasa nyie mnaotaka yasiuzwe mnataka yajae popo au!, eti kuna wengine wanapendekeza yapangishwe ndg zangu serkali haifanyi biashara aisee wana Dar es salaam lazima tuanze kubadil mentality Dar inabaki kua mji wa biashara tu.
2. Tulitaka Rais dikteta Mungu katupatia ambaye ata robo ya dikteta afiki je tungepewa uyo full dikteta si mngeishakimbia nchi. Tungepewa yule full dicteta ambaye ukitaja kidogo kutaka uenyeki wa chama ujue utafte mlango wa kutokea ingekuwaje.
3.Kuzuia siasa miaka kumi iliyopita chini ya Rais wetu kipenzi Mh kikwete mlipewa nafasi ya kutosha mwisho mkataka kuipeleka nchi pabaya kama si uwezo wa yule mzee kisiasa sijui tungekuwa wap mkatuaminisha mafisadi papa leo ndo mnataka kuwapa nchi chini ya chama chenu alafu mnataka kutuletea siasa uchwara wakati wa kaz ebu tupen mda tufanye kazi mtatuletea hao mafisadi papa 2020 ili tuwakatae tena.
Tumwache mh Rais afanye kaz kwani anatekeleza yale aliyotuaidi alisema atadeal na ufisadi sote ni mashahidi. Wateule wake wakizingua hawaamishii sehem nyingine zaidi ya kuwatimua tunaona, elimu bure tunaona, uwajibikaji serikalini tunaona sasa kelele za nini