tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Moja ya kazi zake ni kuilinda na kuitetea Katiba. Ni nani kamwambia avunje Ibara ya 3 ya Katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea? Hauwezi kusema aachwe afanye kazi huku akivunja Katiba.
Ww utakua ni mwanafunzi wa special plogram kule dodoma kwa akili zako unadhani kuandamana kwenda ikulu pekee ndo kunaweza kusababisha kusumbua popote Rais ni watanzania nzima popote mtakapo andamana kukapeleakea watu kutofanya kaz zao ipasavyo ni shida ndo mana nasema tumwache afanye kaz
Mkuu iyo ibara ya 3 ushaisoma au unaisikia inasema ivi `Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaa, isiyokua na dini yenye kufata mfumo wa vyama vingi vya siasa` kwan mh Rais kufuta mfumo wa vyama vingi au kuzuia demokrasia siasa za matukio ndizo zimezuiwa siasa zisizokua na tija kwa watanzania tunataka siasa zenye faida sio zile za kumtembeza fisadi anayestairi kuwa Kisutu sasa ivi akijibu mashtakaMoja ya kazi zake ni kuilinda na kuitetea Katiba. Ni nani kamwambia avunje Ibara ya 3 ya Katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea? Hauwezi kusema aachwe afanye kazi huku akivunja Katiba.
Sijui kama watapewa muda wa kupoteza kwenye maandamano. Labda watajiunga kuleta maendeleo kama Lembeli.Huwez kuona matokeo wakati unawaza kuandamana
Ww utakua ni mwanafunzi wa special plogram kule dodoma kwa akili zako unadhani kuandamana kwenda ikulu pekee ndo kunaweza kusababisha kusumbua popote Rais ni watanzania nzima popote mtakapo andamana kukapeleakea watu kutofanya kaz zao ipasavyo ni shida ndo mana nasema tumwache afanye kaz
Mkuu iyo ibara ya 3 ushaisoma au unaisikia inasema ivi `Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaa, isiyokua na dini yenye kufata mfumo wa vyama vingi vya siasa` kwan mh Rais kufuta mfumo wa vyama vingi au kuzuia demokrasia siasa za matukio ndizo zimezuiwa siasa zisizokua na tija kwa watanzania tunataka siasa zenye faida sio zile za kumtembeza fisadi anayestairi kuwa Kisutu sasa ivi akijibu mashtaka
Mkuu nitajie ibara ya katiba inayoruhusu kuandamanaDu..kumbe hatuwezi kujadiliana kama watu wazima bila kuanza kutukanana? Basi haina shida..tuendelee...we endelea kunirushia matusi...mie wala sitakujibu kwa matusi.
Rais hajasema "waacheni watanzania wafanye kazi"..alisema "niacheni nifanye kazi". Lakini basi hebu tuchukulie hicho ulicho andika ndio alichomaanisha rais (kitu ambacho huwezi thibitisha. Je..UKAWA kwenye tamko lao wamemlazimisha mtu yoyote kuacha kufanya kazi zake na kuandama? Si ni hiari ya yoyote anayetaka kufanya hivyo? Je..anayelazimisha hapa si ni Rais ambaye anawanyima watanzania haki yao ya kikatiba ya kuandama?
Kwa iyo ni siasa zenye tija kulitembeza fisadi papa nchi nzimaAcha ujinga wewe! hakuna siasa zenye tija pale unapoamua kutoiheshimu katiba ya nchi. Hakuna siasa zenye tija pale unapoamua kuwazuia Wabunge wa Upinzani kujadili kile ambacho wanataka kujadili ndani ya Bunge. Hakuna sifa zenye tija pale unapokingia kifua wezi, mafisadi na wapokea rushwa wa Lugumi, UDA, Pride, Escrow, IPTL, Wanunuzi wa boti bovu la bilioni 8. Hakuna siasa zenye faida wala tija pale unapomfukuza kazi Mkurugenzi wa wilaya kwa kusema ukweli mahakamani halafu unaudanganya umma wa Watanzania kwamba umemfukuza kwa sababu ya kutoridhishwa na utendaji wake.
Kwa iyo ni siasa zenye tija kulitembeza fisadi papa nchi nzima
Mkuu nitajie ibara ya katiba inayoruhusu kuandamana
Wakati tunamuacha afanye kazi obvious atakuwa anaingiza kipato!!!Upo sahihi kabisa,tumwache mkuu apige kazi full stop...hawa wanaompinga hata mimi nipo tayari kuwa shungulikia
Mkuu ibara ya 18 (a) inasema kila mtu anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake. Nionyeshe neno kuandamana apo.Katiba ya 1977 ibara 18 (a) na 20(1)
Mkuu ibara ya 18 (a) inasema kila mtu anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake. Nionyeshe neno kuandamana apo.
Lakini pia 20(1) inaongelea wa mtu kushirikiana na wengine nionyeshe pia neno kuandamana
Mkuu wana JF wote tukiamua kukutana na kujadili issues mbalimbali tutakua tumeandamana?? Labda nikusaidie tu kwamba uwezi kukutana na neno kuandamana ndani ya katiba na maandamani yoyote lazima yawe lawfull lazima mpate vibali kwenye mamlaka husika. Tena unaongelea swala la serkali kwenda mahakaman kuzuia maandamano hakuna kitu kama icho maandamano yanazuiwa na tahasisi husika kama polisi walivyofanya sasa ukawa ndo inabidi waende mahakaman kupinga kuzuiwa kuandamana naamini utakua umenielewa na ako kacertifcate kako ka sheriaMtu akiandama anafanya nini? ana "kutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani, kuchanganyika na kushirikiana na watu wengine, kutoa mawazo hadharani" (nukuu kutoka kwenye katiba).
Na isingekua hivyo serikali ingeshaenda mahakamani kuomba mahakama zizuie maandamo...lakini hawajaenda na wala hawataenda maana hiyo ni kesi ambayo watashindwa asubuhi na mapema.
Mkuu wana JF wote tukiamua kukutana na kujadili issues mbalimbali tutakua tumeandamana?? Labda nikusaidie tu kwamba uwezi kukutana na neno kuandamana ndani ya katiba na maandamani yoyote lazima yawe lawfull lazima mpate vibali kwenye mamlaka husika. Tena unaongelea swala la serkali kwenda mahakaman kuzuia maandamano hakuna kitu kama icho maandamano yanazuiwa na tahasisi husika kama polisi walivyofanya sasa ukawa ndo inabidi waende mahakaman kupinga kuzuiwa kuandamana naamini utakua umenielewa na ako kacertifcate kako ka sheria
Wewe nawe una ung'ombe ng'ombe kumbe?!Habari zenu wanaukawa, wanacmm na watanzania kwa ujumla wasio na vyama kama mimi.
Kumekuwa na mabandiko yasiyo na idadi katika jukwaa letu pendwa hili ya kumpinga na kumkosoa mh Rais mimi nasema tumwache afanye kazi na tumsaport kwan miaka mitano iliyopita kwenye jukwaa hilihili na wachangiaji walewale kwa mabandiko kibao walisema Mh Kikwete Rais wa awamu iliyopita nchi imemshinda na wengine wakafika mbali zaidi wakasema nchi hii inaitaji kuongozwa na mtu mwenye element za kidikteta. Mungu katupa Rais tuliyemtaka sasa kelele za nini. Kwa nin nasema Rais tuliyemtaka;
1. Kuuza majengo ya serkali yaliyopo Dar serikali ikishaamia Dodoma na kujenga majengo ya aina iyo Dom kwa ili mkuu wa nchi apongezwe tatizo ni kuyauza na asijenge ila ana jenge tena ya aina iyo au zaidi yake sasa nyie mnaotaka yasiuzwe mnataka yajae popo au!, eti kuna wengine wanapendekeza yapangishwe ndg zangu serkali haifanyi biashara aisee wana Dar es salaam lazima tuanze kubadil mentality Dar inabaki kua mji wa biashara tu.
2. Tulitaka Rais dikteta Mungu katupatia ambaye ata robo ya dikteta afiki je tungepewa uyo full dikteta si mngeishakimbia nchi. Tungepewa yule full dicteta ambaye ukitaja kidogo kutaka uenyeki wa chama ujue utafte mlango wa kutokea ingekuwaje.
3.Kuzuia siasa miaka kumi iliyopita chini ya Rais wetu kipenzi Mh kikwete mlipewa nafasi ya kutosha mwisho mkataka kuipeleka nchi pabaya kama si uwezo wa yule mzee kisiasa sijui tungekuwa wap mkatuaminisha mafisadi papa leo ndo mnataka kuwapa nchi chini ya chama chenu alafu mnataka kutuletea siasa uchwara wakati wa kaz ebu tupen mda tufanye kazi mtatuletea hao mafisadi papa 2020 ili tuwakatae tena.
Tumwache mh Rais afanye kaz kwani anatekeleza yale aliyotuaidi alisema atadeal na ufisadi sote ni mashahidi. Wateule wake wakizingua hawaamishii sehem nyingine zaidi ya kuwatimua tunaona, elimu bure tunaona, uwajibikaji serikalini tunaona sasa kelele za nini