Kujali kwa maneno matupu?!
Ukiona ivyo ujue huna mvuto kwake....
Maneno na matendo kwa pamoja. Matendo ni Zawadi, surprise za outing etc ambavyo vinahitaji pesa
Yap kwa asilimia fulani kuna ukweli ndani yake japo wapo wenye mapenzi ya kweli tofauti na kipato cha mwanaume,ila kwa wanaume sura au mvuto wa mwanamke ndio hasa chanzo cha mahusiano kuliko kipato cha mwanamke........
Asante, ila nimeoa. Mke wangu akiona hii atanisaili wiki nzima. Kumbe hata hatujuani....
Samahan ila nilijua ni neno la kawaida na pia sikujua wewe ni mdada au mkakaAsante, ila nimeoa. Mke wangu akiona hii atanisaili wiki nzima. Kumbe hata hatujuani....
Yawezekana kweili au si kweli, kuna mwanamke ni mke wa mtu na wanakipato kizuri sana. Huyo mwanamke ametokea kunipenda sana kuliko hata mumewe, amenizidi kila kitu kuanzia elimu mpaka kipato. Anatamani hata leo amtilie mumewe sumu afe ili aweze kuishi na mimi. Sasa huo utafiti wenu mbona kwangu kama haujafanya kazi yoyote na utaniaminisha vipi nikubali ?. Siyo huyo tu yupo mwingine nilipanga nyumba kwake lakini hakuwa ameolewa japo alikuwa na mshkj wake, sijawahi kumpa chochote na sikuwa hata na pesa lakini alitokea kunipenda mpaka kodi ya nyumba sikuwa nalipa na chakula ananipikia yeye kwa gharama zake wala sijwahi kumwomba anipikie. Nilidumu naye kwa miaka 4 hajawahi kuniomba pesa na nilikuwa namgegeda NITAKAVYO. Sasa hayo matafiti yenu mnayatoa wapi mkuu ?
Hahahahaaa..... Kumbe Wewe muoga
huyo mwanzo alikuwa mtu mzima alikuwa amependa niwe namgegeda mwanzo mwisho mana alikuwa na hisia kali sana juu yangu, sikuweza kumuoa mana alinizidi miaka 15. Huyu wa sasa ni mke wa mtu na mpaka sasa hivi yupo tayari kwa lolote aachike ili nimuoe. sasa mimi ni mtu wa dini sana siwezi kuoa mke wa mtu. Sasa sijajua mkuu kama amenitamani au anamaanisha kweli, wewe ni mtu mzima hebu fikiria hayo niliyokuambia utapata majibu yako[/QUOTE
Hahahahaaaa ... Ogopa dhambi mkuu