namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 611
Ni kweli unachoongea ni kweli kabisa, naogopa sana dhambi maana mie ni mkristo pia nasali sana, niko kwenye mchakato mkali sana wa kumwacha japo sio rahisi kwake ila nitahakikisha anampenda bwana akehuyo mwanzo alikuwa mtu mzima alikuwa amependa niwe namgegeda mwanzo mwisho mana alikuwa na hisia kali sana juu yangu, sikuweza kumuoa mana alinizidi miaka 15. Huyu wa sasa ni mke wa mtu na mpaka sasa hivi yupo tayari kwa lolote aachike ili nimuoe. sasa mimi ni mtu wa dini sana siwezi kuoa mke wa mtu. Sasa sijajua mkuu kama amenitamani au anamaanisha kweli, wewe ni mtu mzima hebu fikiria hayo niliyokuambia utapata majibu yako[/QUOTE
Hahahahaaaa ... Ogopa dhambi mkuu