Mvutano wa hisia za binadamu

You have something called Unagi.

Unagi, a state of total awareness, in which you can be prepared for...



Cc: mahondaw
 
Wakuu

Kuna kitu kinanichanganya sana,katika maisha yangu .Mimi sio MTU wa kupiga sana simu kwa watu.Huwa napokea sana lawama Juu ya hii tabia,naonekana jeuri japo Mimi sielewi kwanini nipo hivyo.

Kitu cha ajabu kinacho nishangaza ni kuwa,kila ninapomfikiria MTU ambaye sijaongea nae mda mrefu basi uyo Mtu lazima atanipigia simu.

Zamani nilikua sichukulii uzito ili swala lakini sasahivi limezidi sana.Yani siku nikianza kumuwaza MTU yeyote ambaye mda mrefu atujawasiliana basi lazima uyo MTU anipigie simu siku iyo iyo.

Siku nyingine nikiwawaza ata watu 3 lazima wote wanipigie.Mpaka kuna mda naogopa kuwakumbuka baadhi ya watu.

Hivi hii inatokana na nini?,kwa anayejua msaada tafadhali.
Hyo kitu inakutokea kwa unaowajua tu au
 
Back
Top Bottom