enzo1988
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 748
- 2,968
Nafikiri wengi wao hawaelewi maana yake kwa sababu ama hawakuwepo wakati huo au walikuwa wadogo sana yaani umri wa chekechea! Naomba Mungu isijirudie tena ile mvua!Mnaelewa maana ya "Elnino" au mlikuwa hamjazaliwa miaka ya 1998?