Ulikula hasara kwa namna gani ndugu?Hiyo mamlaka ya hali ya hewa ya nchi hii imekuwa kama uganga wa kienyeji.Nishakula hasara sana kwa ajili yao.
...me don't trust hawa jamaa wa hali ya hewa kabisa..mfano kuna wakati joto lilipanda hadi kukaribia 40 degrees....na mtu unaona kabisa na hata raia wengi waliharibika ngozi kwa mapele...lakini wao TMA wakawa wanakuja na joto la degree 30 sehemu nyingi....
Nilipanda kwa utabiri wao. Mvua haikunyesha wala nini. Mbona nilitamani kucheka shambaUlikula hasara kwa namna gani ndugu?
Wewe kweli CHUAJACHARA, tembekea ofisi za TMA wakuoneshe vifaa vibavyotumika kutabiri hali ya hewa, ndo uweke yenye maana humu jamvini. Watu kama wewe mbapotosha maana ya JF (kuelimishana kupashwa kutoa tahadhari). Ningekuwa Mod nisingeweka hayo ya kwako. Tuachane na ujuha.Mhh, utaalamu upi. Unajuaje kama hakukaa mezani na kuandika. We toa shukrani kwa taarifa, kujua kama ni ya kitaalamu au vipi you need evidence!
Hahahaaaa duuuMaajabu, leo umepost something other than siasa
Itanyesha keshoHiyo mvua kubwa yenye kuambatana na kimbunga mbona hadi mida hii ya saa 9 jioni bado haijaanza?
....hii ya kupima joto hata wewe unaweza kupima nyumbani kwa kutumia thermometer ndugu....unaweka thermometer kwenye room temperature (au atmospheric temperature) unapima...its simple....Kwa hiyo kipindi kile cha joto kuna wakati tulipima tukiwa zenj na dar na KIA na kuona joto la juu karibia 38 degrees...lakini unakuta vituo vya hawa jamaa vinakuja na level hizi za 34 etc....Ni kweli mkuu kuwa sio kwenye kila kitu wanakuwa sahihi kama ambavyo tungependa lakini pia tuelimishane kidogo hapa tukitimiza lengo mojawapo la JF.
Hali joto wanayo toa wao ni ya hewa inayopimwa kwenye vituo kutumia vipima joto vilivyo umbali wa mita 2 kutoka kwenye ardhi.
Ningependa kujua zaidi kuhusu hiyo namba ya nyuzi joto 40 kama ilipimwa au ni makadilio yako. Kwasababu nimeangalia online data base moja kwa mwaka jana kuanzia mwezi 10 hadi 12, Dar haionekani kuwa na hali joto zaidi ya nyuzi 34.
Tafsiri yangu, kama baharini kulikuwa na hali joto ya juu, na kama upepo ulikuwa unavuma kutoka baharini kwenda nchi kavu, basi baadhi ya maeneo ya nchi kavu yalipata hewa yenye joto zaidi. Na hii inaweza kuchukua muda mrefu kutokana na uwezo mkubwa wa maji kuhifadhi joto na pia kama upepo ni wa taratibu.
Dah ... pamoja na habari zote hizi bado utaona mijitu imelala...,,,, kwanini mitumie channel zilezile mnazotumia wakati wa kampeni za uchaguzi kufikisha habari kama hizi?????![]()
Nimekuelewa mkuu.
Nilipanda kwa utabiri wao. Mvua haikunyesha wala nini. Mbona nilitamani kucheka shamba
....hii ya kupima joto hata wewe unaweza kupima nyumbani kwa kutumia thermometer ndugu....unaweka thermometer kwenye room temperature (au atmospheric temperature) unapima...its simple....Kwa hiyo kipindi kile cha joto kuna wakati tulipima tukiwa zenj na dar na KIA na kuona joto la juu karibia 38 degrees...lakini unakuta vituo vya hawa jamaa vinakuja na level hizi za 34 etc....
..Issue hapa ni possibly wao TMA ndio wanatoa makadirio ya maeneo....Kama baharini ndiko kulitoka upepo wenye joto kali basi tunge expect hali za joto kwa maeneo haya yawe juu zaidi lakini it was not the case.....wakati ka uhalisia joto lilikuwa kali sana sana dar na hata baadhi ya vyombo vya redio walikuwa wanalalamikia hali hii....na hata manyumbani watu waliathirika...na hata feni za kawaida ungeweza kuweka max speed lakini bado ukahisi wimbi kali la joto...alafu mtu anakwambia ni 34 degrees????...didn't believe them...
We ni ndugu na mkuu wa kaya nini?maana hao ndiyo hawaamini mpaka waone.Mimi binafsi tabiri za mamlaka yetu ya hali ya hewa huwa siiamini mpaka niione mvua kabisa.....
mwishoni mwa mwezi april bila shaka ni sasa. moja ya madhara yaliyotarajiwa ni pamoja na vimbunga, tufani na matetemeko. kabda ndio hiki kisemwacho.Na mwenye taarifa zaid kuhusu ile Sayari ya NIBIRU atujulishe tafadhali