Wengine mjitathmini je niwatu wa Pwani?na mmekuja lini Pwani?
Maana misimu ya pwani inafahamika sana,na hali za hewa na madiliko yake huwa yanajulikana sana.Na pia kwa sie tunaokaa na wavuvi wakongwe,watakuambia kabisa kwamba nini kitafuata hapo mbele kutokana either na joto la majini,au hali ya hewa wanayoiona.
Sasa wewe wa mkoani Nantumbo au Mbekenyera huko umevamia jiji na kuona mambo yanaenda tu na wewe unafuata tu.
Sasa kama wasomi wenzenu wanawaambia hivyo,sasa nyie mnaenda Vyuoni kusoma nini?au ndio kufuta miaka tu then tunakuwa na wasomi wasioajirikia?