Acha upumbafu wewe CHADEMATuna mshukuru Mhe Rais ametuletea mvua
Buza imenyesha?Baada ya kipindi kirefu cha jua kali na majoto ya kutisha Dar hatimaye leo bonge la mvua linanyesha likibatana na radi pia upepo
Huko mtaani kwenu mvua inanyesha au dhambi zimewafanya isinyeshe maana kuna mitaa inatisha kwa madhambi
USSR
Unanikumbusha enzi za jini jiwe. Kila kitu alishukuriwa yeye.Tuna mshukuru Mhe Rais ametuletea mvua
Huku Rau madukani mvua hakuna. Kingai ametuletea mkosi sana.Baada ya kipindi kirefu cha jua kali na majoto ya kutisha Dar hatimaye leo bonge la mvua linanyesha likibatana na radi pia upepo
Huko mtaani kwenu mvua inanyesha au dhambi zimewafanya isinyeshe maana kuna mitaa inatisha kwa madhambi
USSR
Nafsini mwako unajiskiaje kwa kunena haya?Kamuulize mamako anajua hilo
USSR