Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Huko kanda ya ziwa mvua daily inapiga
Maza kaupiga mwingiMvua ingenyesha Mtera ndio ningeona mvua imeupiga mwingi.
Mama anatekeleza ilani vizuriHuko kanda ya ziwa mvua daily inapiga
Kwa MpalangeBaada ya kipindi kirefu cha jua kali na majoto ya kutisha Dar hatimaye leo bonge la mvua linanyesha likibatana na radi pia upepo
Huko mtaani kwenu mvua inanyesha au dhambi zimewafanya isinyeshe maana kuna mitaa inatisha kwa madhambi
USSR
Sio Kauzeni au Gwata?Hiyo mvua inanyesha Dar ipi au upo Kizimzumbwi mzee baba?
Duu ,Mungu mmeshamsahauTuna mshukuru Mhe Rais ametuletea mvua
sifa zote ziende kwa mheshimiwa rais ametuletea mvua, ametuheshimisha na anaendelea kuupiga mwingi.Baada ya kipindi kirefu cha jua kali na majoto ya kutisha Dar hatimaye leo bonge la mvua linanyesha likibatana na radi pia upepo
Huko mtaani kwenu mvua inanyesha au dhambi zimewafanya isinyeshe maana kuna mitaa inatisha kwa madhambi
USSR
Muda huu nipo kivule jua linawaka.Baada ya kipindi kirefu cha jua kali na majoto ya kutisha Dar hatimaye leo bonge la mvua linanyesha likibatana na radi pia upepo
Huko mtaani kwenu mvua inanyesha au dhambi zimewafanya isinyeshe maana kuna mitaa inatisha kwa madhambi
USSR
Kwenye Imani sifa na Utukufu tunampa Mungu, muumba wa Mbingu na Nchi. Mhe Rais hana uwezo wa kuleta mvuasifa zote ziende kwa mheshimiwa rais ametuletea mvua, ametuheshimisha na anaendelea kuupiga mwingi.
Kuna wakati gari ya Mwigulu ilimgonga punda na yeye akajeruhiwa na akalazwa hospitali. Akihojiwa alimshukuru Magufuli kwa kumnusru na ajali ile.Tetete yaandaliwe maandamano ya kumpongeza Mhe Rais kwa kutuletea mvua
Tuna mshukuru Mhe Rais ametuletea mvua
Hahaha nimecheka sana ,kuna kipindi uanmuona aliyekuajiri kama Mungu wako hapa dunianiKuna wakati gari ya Mwigulu ilimgonga punda na yeye akajeruhiwa na akalazwa hospitali. Akihojiwa alimshukuru Magufuli kwa kumnusru na ajali ile.
Tuna mshukuru Mhe Rais ametuletea mvua