Mvua kubwa na radi Dar imekukuta wapi?

KKwa
Baada ya kipindi kirefu cha jua kali na majoto ya kutisha Dar hatimaye leo bonge la mvua linanyesha likibatana na radi pia upepo


Huko mtaani kwenu mvua inanyesha au dhambi zimewafanya isinyeshe maana kuna mitaa inatisha kwa madhambi

USSR
Kwa Mpalange
 
Baada ya kipindi kirefu cha jua kali na majoto ya kutisha Dar hatimaye leo bonge la mvua linanyesha likibatana na radi pia upepo


Huko mtaani kwenu mvua inanyesha au dhambi zimewafanya isinyeshe maana kuna mitaa inatisha kwa madhambi

USSR
sifa zote ziende kwa mheshimiwa rais ametuletea mvua, ametuheshimisha na anaendelea kuupiga mwingi.
 
Baada ya kipindi kirefu cha jua kali na majoto ya kutisha Dar hatimaye leo bonge la mvua linanyesha likibatana na radi pia upepo


Huko mtaani kwenu mvua inanyesha au dhambi zimewafanya isinyeshe maana kuna mitaa inatisha kwa madhambi

USSR
Muda huu nipo kivule jua linawaka.
 
Natamani hiyo mvua ifike hadi huku Kidatu ili maji yarejee kuweza kuzalisha umeme wa kutosha.
Huku Moro bado jua ni kali mno.
 
Kuna wakati gari ya Mwigulu ilimgonga punda na yeye akajeruhiwa na akalazwa hospitali. Akihojiwa alimshukuru Magufuli kwa kumnusru na ajali ile.
Hahaha nimecheka sana ,kuna kipindi uanmuona aliyekuajiri kama Mungu wako hapa duniani

USSR
 
Back
Top Bottom