Kaupiga mwingiTuna mshukuru Mhe Rais ametuletea mvua
SanaKaupiga mwingi
Subirini Rais aje pande hizoKimara hata Manyunyu hamna..
Subirini Rais aje pande hizo
Imenikuta tandale Kwa tumbo, noma sana🏃.Baada ya kipindi kirefu cha jua kali na majoto ya kutisha Dar hatimaye leo bonge la mvua linanyesha likibatana na radi pia upepo
Huko mtaani kwenu mvua inanyesha au dhambi zimewafanya isinyeshe maana kuna mitaa inatisha kwa madhambi
USSR
Baada ya kipindi kirefu cha jua kali na majoto ya kutisha Dar hatimaye leo bonge la mvua linanyesha likibatana na radi pia upepo
Huko mtaani kwenu mvua inanyesha au dhambi zimewafanya isinyeshe maana kuna mitaa inatisha kwa madhambi
USSR
Ndiyo hivyo mkuu
Huu ujinga Gani TenaTuna mshukuru Mhe Rais ametuletea mvua
Wanakijani hawachelewi kuandalia pambio, huwa hawanaga hofu ya kufuru🤔.Tuna mshukuru Mhe Rais ametuletea mvua
Kwanini? kila kitu analeta Mhe Rais hatujawahi kuona mvua kubwa hivi tangu uhuruHuu ujinga Gani Tena
Tetete yaandaliwe maandamano ya kumpongeza Mhe Rais kwa kutuletea mvuaWanakijani hawachelewi kuandalia pambio, huwa hawanaga hofu ya kufuru🤔.
Mimi imenikutia tandale kwa tumbo.Hiyo mvua inanyesha Dar ipi au upo Kizimzumbwi mzee baba?
Mimi imenikutia tandale kwa tumbo.
Kwingine itanyesha ila huko iache kwanza hadi waimba pambio wanyoroke kwanza.Mvua ingenyesha Mtera ndio ningeona mvua imeupiga mwingi.