Mvua Imenyesha sana Dar es salaam

Mvua Imenyesha sana Dar es salaam

pingu mkoka

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
434
Reaction score
112
Wakuu leo hizi mvua zitakatika kweli?hasa sisi wakazi wa Kimara na Mbezi ni noumaa,wala sifikilii kuamka sasa,vipi wenzangu na mimi huko.
Mikocheni my feya plaza mpo?
 
wakuu leo hizi mvua zitakatika kweli?hasa sisi wakazi wa kimara na mbezi ni noumaa,wala sifikilii kuamka sasa,vipi wenzangu na mimi huko.
Mikocheni my feya plaza mpo??
Wamepelekewa mitumbwi
 
wakuu leo hizi mvua zitakatika kweli?hasa sisi wakazi wa kimara na mbezi ni noumaa,wala sifikilii kuamka sasa,vipi wenzangu na mimi huko.
Mikocheni my feya plaza mpo??

Nkikumbuka wanaoishi maeneo yenye mafuriko naona mvua ikatike tu.Lakini ii shida ya maji inayoendelea kmr naona tena bora iendelee.
 
wakuu leo hizi mvua zitakatika kweli?hasa sisi wakazi wa kimara na mbezi ni noumaa,wala sifikilii kuamka sasa,vipi wenzangu na mimi huko.
Mikocheni my feya plaza mpo??
Huku kwetu Mbezi ni balaa,ninapokaa mimi mafuriko hayawezekani ni juu ya kilima
,woga wangu ni kuteleza mpaka bondeni ambako ndio kuna kituo cha basi nikifikiria hamu ya kazi inaisha.
 
Dar yaani huwa hakuna nafuu kabisa ni ile song ya JMO kati ya jua na mvua unapenda..... wengine mvua na wengine jua ...mbona mnanichanganya......
 
wakuu leo hizi mvua zitakatika kweli?hasa sisi wakazi wa kimara na mbezi ni noumaa,wala sifikilii kuamka sasa,vipi wenzangu na mimi huko.
Mikocheni my feya plaza mpo??

Njoo safari bar karibu na crdb mbezi mwisho tunywe supu halafu tuanze SAFARI BRIIIID
 
wakuu leo hizi mvua zitakatika kweli?hasa sisi wakazi wa kimara na mbezi ni noumaa,wala sifikilii kuamka sasa,vipi wenzangu na mimi huko.
Mikocheni my feya plaza mpo??

Hahaha.. naona mnaoishi sehemu za mafuriko mnajuana kwa viremba. Ngoja waje hao wa mikocheni tuwasikie kama panapitika bila kukunja suruali.
 
wakuu leo hizi mvua zitakatika kweli?hasa sisi wakazi wa kimara na mbezi ni noumaa,wala sifikilii kuamka sasa,vipi wenzangu na mimi huko.
Mikocheni my feya plaza mpo??
bora yako wewe muuza duka la vyombo maana sisi waajiriwa tunakazi..
 
Achieni mashuka wakuu mwende job, mtavuruga nyota ya kijani bure.
 
Back
Top Bottom