Mvua Imenyesha sana Dar es salaam

Mvua Imenyesha sana Dar es salaam

hatimaye nimefika ofisini..ila tepe tepe...
ile stand ya mbezi mwisho sijaelewa wamejengaje....maana daah..ata ukisimama kwa ndan mule vua bado kunyeshea
 
Ndio matatizo ya kuajiriwa au kazi za nenda rudi kama halawa,ningekuwa na kajibz kangu ngekuwa nipo ndani ya shuka lkn kazi za wahindi unaweza ukalamba BAN.
 
Ndio matatizo ya kuajiriwa au kazi za nenda rudi kama halawa,ningekuwa na kajibz kangu ngekuwa nipo ndani ya shuka lkn kazi za wahindi unaweza ukalamba BAN.

Hahhhahaaaa kazi za nenda rudi kama hawala hahahahaaa umenifurahisha.
 
Hivi ikiwa inanyesha hv pale jangwani wanalala juu ya bati au?
 
Mimi nafikiri tatizo sio mvua,....miundo mbinu bwana.....Yaani nimechukia maporomokoni ninakoishi...khaaa...mpaka kuikuta barabara kubwa ya lami, hamu sina!
 
Ni wakati mzuri sana wa kufuga na kuvua samaki........na kwa sie akina nanihiii ni wakati wa kutafuta watoto.
 
Ada Estate kuelekea Namanga
ImageUploadedByJamiiForums1395992287.214865.jpg ImageUploadedByJamiiForums1395992364.914780.jpg


||"You were too young to understand"||
 
Leo ndoa za Dar zitaimarishwa sana. Mtu akitoka kazini direct kwa mamsap home. tv kwa wingi akisubiria wtt walale
 
mbagala ni majanga tu, toka mvua zianze jana usiku na umeme ukakatika mpaka leo haujarejea!
 
Back
Top Bottom