Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Kulingana na Taarifa ya Wakala wa Ufundi na Umemem Tanzania TAMESA imetaarifu Umma kuwa Kivuko cha MV Kazi kinachotoa huduma katika eneo la feri kimesimama kutoa huduma zake kuanzia leo December 09 kutokana na Kupata hitilafu kwenye mifumo yake ya Uendeshaji.
TAMESA imeshauri watumia wa kivuko hicho Kutumia njia mbadala ya Daraja la Mwalimu Nyerere Mpaka pale Kivuko hicho kitakaporejea kweneye Utoaji huduma zake.