Alafu akaendeleza pumba zake bila aibu. ...hakuna kukanyaga USA! Wakenya wanavopenda kusafiri... I swear Jf itabidi watufanyie 'vetting' upya, kumekuwa na ongezeko kubwa sana la 'magugu maji' kwenye jukwaa hili.Mkenya ndio Kawa wakenya?
Eti,,Mkenya ndio Kawa wakenya?
Dini imeingiaje hapa?.Wakenya njooni huku muone vile mungu wenu kawazuia kuingia mbinguni USA licha yanyi kuiabudu dini ya English
Utuoneshe pia majambazi na wezi wa kikunya waliokamatwa kwa wizi na kuuza madawa ya kulevya.Sasa tuonyeshe wadanganyka walioshikwa kwa kuuza madawa ya kulevya
Kuna rafiki yangu kanitumia hii kutoka Nairobi Kenya, kwamba D.Trump amechoshwa na corruption ya politicians wa Kenya, na sasa hakuna kuingia USA, na wanavyopenda kusafiri kwa Muzungu lazima watachanganyikiwa,
Safari za KQ kuenda New York zimeisha hivyo tu. Aisee hahaha! Ila wamefanya jambo la busara sana, ningependa nchi zingine pia ziwapige marufuku hawa mafisadi kufika kwenye nchi zao.Dah! Hii kali, eti Wakenya wamezuiwa kuingia USA, jameni Wakenya wote tumeisha, hatutaruhusiwa kuingia US tena, ndege zetu za direct flight to USA ndio basi.....mamayeee tulikosea wapi....