Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,870
- 34,357
Muuza pizza kamuona Obama akamkimbilia na kumnyanyua juu juu kwa bongo
Unaweza kumnyanyuwa juu kwa juu kiongozi wako?
Ganda la mua la jana....? Malizia apate jibu lakeDuh...hii ni karibu miaka minne ilopita....
Na jando bila ganziUnakula kwanza virungu vya kutosha!
Bongo raisi hata mmoja hajawahi kuwa assassinated kama marekani lakini baba hata kumpa mkono raisi unakula banzi mpaka kingaja kina kufaganzi,Na jando bila ganzi
Na jando bila ganzi
Chungu kaona kivunoGanda la mua la jana....? Malizia apate jibu lake
Naomba utoe usia wako halafu andika mirath yako id ya JF nitaimilikimimi halafu nendaMimi namsubiri mkuu wetu akija maeneo nijipenyeze nimnyanyue begani halafu nitoke nae nduki