Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,510
- 3,332
Huyu Mwamba namkubali sana na namshukuru kwa kuleta ushindani hasa kwenye biashara ya magari.
Kwenye ushindani huu ambapo angalau anauza madungu jeshi kwa bei ya kuridhisha reasonable price ukilinganisha na show rooms zingine.
Fikiria wengine walikuwa wanauza na wanauza hayo magari kama ya Lukos kwa million 90 hadi 100 lakini mwamba anakuuzia kwaanzia million 30 hadi 50.
Na kwa siku anauza magari 10 kwa mwezi 100.
Nimesikia chuki, wivu na maumivu ya baadhi ya wafanybiashara wa magari wakilalamika na kumind kichiz.
Chris awe makini. Inabidi aende songea huko kwa wangoni akatafute mganga mahiri. Mimi namshauri atoe kafara ya mbwa 😆😆
Kwa ushauri azidishe kuleta range rover vogue. Sports ziko za kutosha.
Namtakia kila la heri huyu Mwamba na mpambanaji Chris Lukos na mwanajamvi mwenzetu. Alikuwaga active sana jamvini 2013-2015 ex cop.
Kwenye ushindani huu ambapo angalau anauza madungu jeshi kwa bei ya kuridhisha reasonable price ukilinganisha na show rooms zingine.
Fikiria wengine walikuwa wanauza na wanauza hayo magari kama ya Lukos kwa million 90 hadi 100 lakini mwamba anakuuzia kwaanzia million 30 hadi 50.
Na kwa siku anauza magari 10 kwa mwezi 100.
Nimesikia chuki, wivu na maumivu ya baadhi ya wafanybiashara wa magari wakilalamika na kumind kichiz.
Chris awe makini. Inabidi aende songea huko kwa wangoni akatafute mganga mahiri. Mimi namshauri atoe kafara ya mbwa 😆😆
Kwa ushauri azidishe kuleta range rover vogue. Sports ziko za kutosha.
Namtakia kila la heri huyu Mwamba na mpambanaji Chris Lukos na mwanajamvi mwenzetu. Alikuwaga active sana jamvini 2013-2015 ex cop.