Muungano una uhalali wa kisheria?

Muungano una uhalali wa kisheria?

Pasco Sasa naanza kutilia shaka maelezo yako na ninaona kama unageuza mambo kuhalapisha hoja yako,kwa sheria uliyoisoma,hivi ndoa inakuwa presumed ili parties watambulike kama wanandoa na waendelee kuishi pamoja ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni abc za sheria ambazo kila mtu anapaswa kuzijua.
Maana ya ndoa sio cheti ni lile tendo, cheti ni ushahidi tuu. Mkiishi kinyumba huku mnafanya tendo ni ndoa hata kama haina cheti hii inaitwa presumption of marriage.

Wakati kuna wamefunga ndoa na wana hati na sherehe kubwa ikafanyika na ikafana sana lakini kufika chumbani ni bila bila, consummation imegoma, hapo kunakuwa hakuna ndoa it's a mare sham!.

Kwenye agreements and contacts of services, mkiisha kubaliana na mka saini, hata kama ratification haikufanyika properly upande mmoja lakini performance imefanyika, then makubaliano hayo ni halali kwa kuhalalishwa na performance.
P
 
Muundo wa huu muungano ni shida kubwa! Tuamue kuwa na serikali moja au tatu kama ni muhimu kuwa na huo muungano! Tanganyika + Zanzibar = Tanzania, Zanzibar?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muungano uliridhiwa upande mmoja, kule hawakuridhia, ila wametekeleza vipengele vya muungano by performance.
Hivyo muungano ni halali.
P,
Huoni kuwa unatufungua macho yetu hapa?? Kumbe Muungano huu ni maridhio ya upande mmoja tu?? Sasa Zenj weshaamka na kugundua kuwa hawakuuridhia muungano. Hivyo wanasema; Tumebakwa vya kutosha. Sasa tunataka uhuru (Ridhaaa) yetu.
Siku hizo ilikuwa ni Treason kuujdili, leo ni mazingaumbwe kuujadili. Mnabaki kusema; Mmechelewa, mmechelewa. Kwenda wapi?? Watu wanataka kurudia uhuru wao mliowabaka. Wapeni waende zao popote wanapotaka.
P; Kuna neno umesema; "Tutaulinda huu muungano, at any cost!" Jamani. Huu ni ubabe!! Maridhiano hayo hayaku cost damu bali maneno tu. Sasa hujiulizi, kwa nini hawakuusaini?? Kuna maswali mengi kuliko majibu.
Tusifikie kukubaliana at any cost
 
P,
Huoni kuwa unatufungua macho yetu hapa?? Kumbe Muungano huu ni maridhio ya upande mmoja tu?? Sasa Zenj weshaamka na kugundua kuwa hawakuuridhia muungano. Hivyo wanasema; Tumebakwa vya kutosha. Sasa tunataka uhuru (Ridhaaa) yetu.
Siku hizo ilikuwa ni Treason kuujdili, leo ni mazingaumbwe kuujadili. Mnabaki kusema; Mmechelewa, mmechelewa. Kwenda wapi?? Watu wanataka kurudia uhuru wao mliowabaka. Wapeni waende zao popote wanapotaka.
P; Kuna neno umesema; "Tutaulinda huu muungano, at any cost!" Jamani. Huu ni ubabe!! Maridhiano hayo hayaku cost damu bali maneno tu. Sasa hujiulizi, kwa nini hawakuusaini?? Kuna maswali mengi kuliko majibu.
Tusifikie kukubaliana at any cost
Mkuu Mangatara, muungano umesainiwa ila haukuridhiwa Zanzibar. Kuridhiwa sio kusainiwa bali ni kuwa ratified. Lengo la ratification ni ili kuwa applicable na utekelezwe, ukisha tekeleza bila ku ratify, hiyo tayari ni performance, hivyo huhitaji tena ku ratify kitu ambacho umeisha kifanyia performance.

Kwenye ndoa za kimila zamani, unalipia mahari kiasi fulani, halafu baada ya defloration ukikuta ni sealed, unamalizia kile kidogo dogo kilichobakia.

Hata ukikuta sio sealed, wakati wewe uli anticipate seal, huyo bado anakuwa mke wako, huwezi tena kudai kurudishiwa mahari kwasababu umeuziwa opened item, tena wanaume wengine wenye mapenzi ya kweli, hata akikuta ni opened, anamalizia ile sehemu ya mahari kuonyeshea umekuta sealed ili kumlindia heshima mkeo maana kiukweli kabisa, wengine seal huwa zinatoka zenyewe kutoka na sababu mbalimbali.

Muungano ulisainiwa na ulikuwa ufanyiwe kwanza ratification Tanganyika na Zanzibar ndipo performance ifanyike. Baada ya Tanganyika ku ratify, Karume akawaita mabalozi na kuwaeleza tumeungana na tumekamilisha kila kitu, kilichofuata ni performance. Ile performance ndio ratification yenyewe.

Karibu darasa hili
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani? - JamiiForums
P
 
Sina uhakika kivile ila nasikia kuwa kuna Watu wengi leo hatunao katika dunia hii yenye CORONA hasa baada ya Kuhoji Suala la Muungano na kutaka ama usiwepo au uvunjike kabisa.
 
Uko right, nikiwa nauza gari yangu kwa shilingi milioni1, ukataka kununua nikakuambia tuandikishane, tukaandikishana mimi nikasaini, wewe hukusaini,
lakini ukanilipa ile milioni na nikakupa gari, hapo japo hukusaini lakini umetekeleza, hii kisheria inaitwa perfomance.

Hata kwenye ndoa, ndoa sio kile cheti cha ndoa ni lile tendo, hata mkifunga ndoa kanisani na mkasherehekea, kufika chumbani, hakuna kitu ni hakuna ndoa, lakini mkichukuana tuu na mwanamke na kuishi pamoja bila cheti chochote, lakini tendo lipo, hiyo ni ndoa.

Muungano uliridhiwa upande mmoja, kule hawakuridhia, ila wametekeleza vipengele vya muungano by performance.
Hivyo muungano ni halali.
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani? - JamiiForums
P
Ishawahi pigwa kura ya kuukubali muungano zanzibar? Huenda wanatii kama ilivyo kutii sheria bila shuruti, hakuna ajuaye.
Ila ni kweli Muungano upo kwa sababu hakuna aliyewahi andamana kuukataa.
 
yakhe machogo (machogo ni watu wa bara wanavyoitwa zenj) kama mie na ami (ndugu ) zangu Makame na Faki mada ya muungano huwa twaipenda sana ati na huwa tukija Zenj kuwamalizia mapembe (MAPEMBE NI WALI WA BEI POA ambao wazenji hawataki twende kwao wakihofia sisi wabara tunakula sana na tutawaua kwa njaa huu ndio msemo wao)!

na jibu ni kuwa muungano upo at work hati ipo mchanga uliochanganywa upo but waliosaini hawapo wazenji wa Oman mkitaka hati na mchanga ili kuvunja muungano basi kwanza waleteni waasisi wa muungano na mashahidi wote wa siku ile ndo waje waufute muungano wao kwa kusaini tena hati ya kuvunja muungano na kisha wale waliochanga ule mchanga waje tena mbele kuuchambua ule mchanga , mchanga wa machogo ubaki bara na wa wazenji ubaki Zenj! kwanza hakuna kusumbuana sababu hati na mchanga ni bidhaa adimu si public materials! itoshe tu kujua muungano ulishafanyika na utalindwa kwa mabuti na virungu na rubber bullets na maji ya kuwasha from JWTZ full stop, wageni wa muungano toka Oman msitusumbue na msijisumbue ati! Huu muungano ni ‘Ironclad’!

siku muungano ukivunjika six hundred years to one millenium to come wazenji mtatengana tena kwanza Unguja na Pemba na kisha mtaitenga mjini magharibi, kisha mtatengana Unguja Kaskazini na Unguja Kusini na Pemba mtatengana na Tumbatu na Kojani, yaani mtatengeza nchi SITA ambazo baada ya muda mfupi zitawekwa chini ya karantini na ukoloni wa Sultan wa Oman ambae ataungana na nchi rafiki zake za kiarabu kuvamia na kushambulia Tanganyilka na nchi zinazotuzunguka, machogo hatuwezi kukubali kuwa vulnerable!! Nyerere alisema ukila nyama ya mtu huwezi kuacha na ukianza kutengana hutastop hadi pale utakapobaki alone! yaani huna wa kutengana nae!!

yakhe Corona ipo, si masikhara ati, tutapambane nayo kwanza Muungano tuje kuuzungumza siku ingine!
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni halali kisheria japo ni kweli Zanzibar haiku ratify muungano ila umehalalishwa na performance ya vipengele vya muungano.

Kama ili uhalali wa ndoa sio cheti cha ndoa ni consummation ya ndoa.
Mkichukuana na mtu, mkaishi kinyumba kama mke na mume, mkafanya tendo la ndoa kwa ridhaa yenu, kisheria itahesabika kama ndoa, hata kama hamna cheti cha ndoa, inaitwa presumption of marriage, ni ndoa yenye haki zote ispikuwa haina talaka.

Hivyo mkataba wa muungano ni mkataba halali hata kama mwanzo Zanzibar haikuridhia, lakini kitendo cha Zanzibar kutimiza vipengele vya muungano, kunahesabika ni kuridhia by performance.

Hili tumelizungumza sana humu
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani? - JamiiForums

Pia articles of union za muungano ni makubaliano yaani agreement na sio mkataba sio contract. Kila mkataba ni agreement ila sio kila agreement ni mkataba. Ili agreement iwe mkataba lazima iwe na sifa ya kuwa enforced by law, Articles of union ni agreement for life, not enforceable by law na hauna kipengele cha kuvunja mkataba, hivyo muungano wetu adhimu ni for life na tutaulinda kwa gharama yoyote
Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!. - JamiiForums

P

Usiweke nakala kuhalalisha muungano, tunataka makubaliano ya muungano ya kisheria juu ya meza, full stop


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo la ratification ni kupata consent.
Ndoa ni makubaliano yenye consensus, ukimbaka mwanamke na kumuingilia bila ridhaa yake ni kosa la jinai, ili lihesabike ni kosa, lazima aliyebakwa alalamike na kushitaki.

Mwanamke akibakwa, asipolalamika na kushitaki atahesabiwa ameridhia. Ikitokea akashika ujauzito kutokana na ubakaji huo, akaamua kutulia kwa mbakaji na kila siku kuendelea kubakwa na hadi akajifungua na kulea mtoto, atahesabika ameridhia na uhusiano huo utahesabiwa ni ndoa halali.

Hivyo muungano wetu hata bila ya Zanzibar ratification as long as Zanzibar imetimizwa matakwa ya muungano, inahesabika imeridhia by performance.

P
Hicho cheti cha ndoa kipo? Umewahi kukiona? Kama kweli kingekuwepo basi mimi naamini kingekuwa kwenye display!
 
Usiweke nakala kuhalalisha muungano, tunataka makubaliano ya muungano ya kisheria juu ya meza, full stop
Hicho cheti cha ndoa kipo? Umewahi kukiona? Kama kweli kingekuwepo basi mimi naamini kingekuwa kwenye display!
Wakuu Ghibuu na Ikipendaroho, kusema la ukweli kwenye hili la Cheti cha ndoa ya huu muungano wetu adhimu, JF imelisaidia sana taifa maana ni mimi ndie nililibua humu kuwa documents za miungano yote ni public documents kule maktaba ya UN, mimi nikiwa kule nikaenda kui seach nikakuta iko empty!.

Nikaenda ofisi ya ubalozi wetu pale UN enzi hizo shemeji yetu mke wa mwana jf mwenzetu, ndio receptionist cum secretary akanipokea na kuniunganisha na balozi, nikaomba kuonyeshwa copy ya Note Verbale ya Balozi Chief Erasto Mang'enya aliyowasilisha kule UN ili kuuona mkataba wa Muungano!, hakuna!.

Niliporudi Bongo nikaenda pale National Achieves nikaomba kuiona copy ya Articles of Union nikaletewa Acts of Union!.

Bunge la katiba lilipoanza kwenye Bunge lile nako wakapelekewa ile ile Acts of Union na sio Articles of Union, ndipo nikapandisha bandiko hili
Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Union" na Kudanganywa ni "Articles of Union"!. - JamiiForums

Kuna wajumbe wa Bunge la Katiba wenye akili wakaipick from JF, waka demands Articles of Union, ndipo zikaibuliwa from President Achieves na kuwasilishwa Bunge la Katiba.

Ndipo nakala halisi ya hati za muungano zikaibuliwa huko zilikofichwa ikatolewa nakala halisi ikawasilishwa Bunge Maalum la Katiba.

P
 
ji
Usiweke nakala kuhalalisha muungano, tunataka makubaliano ya muungano ya kisheria juu ya meza, full stop


Sent using Jamii Forums mobile app
waweke makubaliano juu ya meza ipi mkuu? waje kwako? watajie ni wapi!!huwezi kupigana vita kwa kutumia kivuli chako na fake ID nyuma ya keyboard, waonaje ukijitaja ili wenzako wakuunge mkono?
 
ji

huwezi kupigana vita kwa kutumia kivuli chako na fake ID nyuma ya keyboard, waonaje ukijitaja ili wenzako wakuunge mkono?
Kwani kuulizia suala la muungano kwako na baadhi ya wenzako ni vita? Ni suala la kupigania haki itendeke kwenye masuala yote na sio hili tu la Muungano. Sasa wewe kama suala la kufinyanga haki za Wazanzibari linakunufaisha basi endelea tu ku support hii injustice. Na kwa ahadi ya Mungu basi na wewe na familia yako nzima ijayo injustice ya njia moja au nyengine itawakumba tu! Dua ya mwenye kudhulumiwa hairudi bila ya majibu +ve, hata kama ni mwenye kumkufuru Mungu! Time will tell.
 
Zanzibar ,Comoros ,Malawi ,Burundi ,Rwanda na Ugunda hivyo ni vijimbo vya Tanganyika haihitaji uhalali tukiwahitaji tuna watumia
Hata mimi huwa nashangaa kwanini Nyerere hakwenda mbali zaidi kwa kuivamia Zanzibar kijeshi na kuhakikisha wazanzibar wote anawahamishia hata katavi au kuhakikisha kila mwanamke wa kizanzibar lazima aolewe bara na wanaume Zanzibar wote waoe bara tena kagera huko, kigoma ,katavi au mbeya. Sasa hivi tungekuwa tulishafuta kabisa uzanzibar na tungeunda nchi yenye serikali moja tu.


Hata hivyo alijitahidi alipoishia ni jukumu letu kuhakikisha tunatekeleza azma yake iwe kwa amani au kwa shari.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishawahi pigwa kura ya kuukubali muungano zanzibar? Huenda wanatii kama ilivyo kutii sheria bila shuruti, hakuna ajuaye.
Ila ni kweli Muungano upo kwa sababu hakuna aliyewahi andamana kuukataa.
Hata wakiandamana itabidi tuwachape sana mpaka wakubali tu.

Kuacha Zanzibar itoke nje ya muungano ni sawa na kumruhusu mkeo aolewe na bwana mwingine halafu watumie nyumba na kitanda chako kufanya yao na wewe ukiwepo.

Zanzibar haipaswi kujitawala kamwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka kujua hakuna muungano hapo angalia tu kwanini mtanzania bara ndio anao ulilia muungano na sio mzanzibar tunaona au kusikia watanganyika wakisema tutaulinda kwa gharama zote muungano ila kwa wazanzibar hatuwasikii Kama huu muungano na ule wa UK tutauita nini ukoloni? Muungano uko UK huu wa Tanganyika na Zanzibar Ni mkoloni mweusi kumtawala mweusi mwenzie

Sent from Tapatalk
 
Hata wakiandamana itabidi tuwachape sana mpaka wakubali tu.

Kuacha Zanzibar itoke nje ya muungano ni sawa na kumruhusu mkeo aolewe na bwana mwingine halafu watumie nyumba na kitanda chako kufanya yao na wewe ukiwepo.

Zanzibar haipaswi kujitawala kamwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakiamua Kuwachapa haiwezekani, nafikiri wanaelewa umuhimu wa muungano hawawezi andamana.
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni halali kisheria japo ni kweli Zanzibar haiku ratify muungano ila umehalalishwa na performance ya vipengele vya muungano.

Kama ili uhalali wa ndoa sio cheti cha ndoa ni consummation ya ndoa.
Mkichukuana na mtu, mkaishi kinyumba kama mke na mume, mkafanya tendo la ndoa kwa ridhaa yenu, kisheria itahesabika kama ndoa, hata kama hamna cheti cha ndoa, inaitwa presumption of marriage, ni ndoa yenye haki zote ispikuwa haina talaka.

Hivyo mkataba wa muungano ni mkataba halali hata kama mwanzo Zanzibar haikuridhia, lakini kitendo cha Zanzibar kutimiza vipengele vya muungano, kunahesabika ni kuridhia by performance.

Hili tumelizungumza sana humu
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani? - JamiiForums

Pia articles of union za muungano ni makubaliano yaani agreement na sio mkataba sio contract. Kila mkataba ni agreement ila sio kila agreement ni mkataba. Ili agreement iwe mkataba lazima iwe na sifa ya kuwa enforced by law, Articles of union ni agreement for life, not enforceable by law na hauna kipengele cha kuvunja mkataba, hivyo muungano wetu adhimu ni for life na tutaulinda kwa gharama yoyote
Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!. - JamiiForums

P

Paskali
kama maamuzi magumu kama ya kuunganisha nchi hayakuridhiwa na Baraza la Mapinduzi na wala wananchi hawakushauriwa basi ujue hapo kuwa kuna figisu figisu iliyofanywa kwa hiyo legtimacy ya muugano huu iko mashakani.
Wazanzibari walilazimishwa kuingia ktk ndoa hii haramu iliyokosa ridhaa yao na wanalazimika kuishi nao ingawa hawautaki. Ndiyo maana , kwa upande wa znz mpk ksho tunataka tuwe kivyetu, tuendeshe nchi yetu nje ya muungano.
Body language ya wazenj haidanganyi juu ya hili na wallah hawana namna lakn wangekuwa na njia ya mkato wangekuwa wameshajitoa kitambo. Jiti la matako limetuingia.

Maslahi mapana ya kisiasa kwa upande wa CCM/ SMZ ndiyo driving force ya kulazimisha kudumisha dudu baya hili kwa wazanzibari. Tunapenda kurejesha identity ya utaifa wetu ulioporwa na ujanja wa Nyerere na kurume na hakuna asiyejua kuwa nyerere , kwa sababu ya strong intellectual capital yake against karume, aliweza kumshawishi na karume akaingia mkenge. Of course, influence ya geopolitics iliyozama ktk saisa za cold war wakati ule wenye nguvu wa nchio za magharibi walimtumia Nerere kumshawishi karume kuforce kwa kuuweka muungano huu haramu usiokubalika kwa wazanzibari. Kisingizio cha western power eti ikiwa znz itaachwa ikifunagamana na mataifa ya kikomnunists kama China, East Germany na USSR basi znz itakuwa Cuba of Africa.

Fear of the unknown ilimfanya Nyerere haraka haraka akazungumza na karume ili kuanzisha dude hili corona la muungano.
Kumbukeni, talents, brain na itellectuals wa zenj wakati ule akina Abdulrahman Mohamed Babu na wengine walipewa safari kikazi ktk nchi za Indonesia, malaysia, ili wasije kumshawishi karume akatae kuingia ktk muugano huu. Naamini babu na kundi lake wasingkubali upuuzi huu.

Karibuni haunyegwa mchana.
 
Ni kweli tatizo kubwa ni CCM zanzibar. Hawa ni watu maslahi binafsi . Wameathiriwa na Bacteria wanaoitwa BT( Bora Tumbo ). wenzetu hawa wanajua kuwa muungano hautendi haki lakn wanaogopa kusema eti asijenyimwa fursa ya kugombea ubunge au ujumbe wa baraza la wawakilishi. Hwa ni kikwazo. Nakuapia wananchi 97% wazanzibari wamechoka na dudu baya hili la muungano but they are voice less.
 
Back
Top Bottom