Muungano una uhalali wa kisheria?

doriani

Member
Nov 24, 2019
42
38
Kuwepo kwa Muungano wa Tanzania kumekuwa ni jambo la kupigiwa mfano kwa upande mmoja na lenye kutiliwa mashaka kwa upande mwengine kutokana na kukosekana ushahidi wa kisheria unaothibitisha kuwa umefanywa kihalali kwa mujibu wa hati ya Mkataba wa Muungano.

Hizi ni nchi mbili ambazo ni Jamhuri tena zilikuwa huru na kila moja ilikua na kiti chake Umoja wa Mataifa. Jamhuri hizi zilikuwa na mabaraza yake ya kutunga Sheria Bunge kwa upande wa Tanganyika na Baraza la Mapinduzi kwa upande wa Zanzibar, kwa mujibu wa sheria za kimataifa vyombo vya kutunga Sheria vina umuhimu mkubwa katika mchakato wa kuziunganisha nchi.

Kazi ya Mbunge ya kuidhinisha Muungano ya nchi hutanguliwa na hatua ya kuwashirikisha wananchi kwa kuwauliza iwapo wanataka nchi zao ziungane. Hilo halikutendeka Tanganyika wala Zanzibar. Wengi wanaamini kwamba Muungano wa Tanzania hauna uhalali wa kisheria kwa sababu masharti ya uhalali wa Muungano huo yalikuwa ni pamoja na kuridhiwa na Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi la Zanzibar baada ya kukubaliwa na Marais wa nchi mbili (Tanganyika na Zanzibar).

Kuna kumbukumbu za kuridhiwa na Bunge la Tanganyika lakini hapana ushahidi hadi hivi sasa wa kuridhiwa kwa Mkataba huo na Baraza la Mapinduzi la Zanzibar.

Kifungu cha (Vlll) cha Mkataba wa Muungano kinaeleza hivi: "Mkataba huu wa Muungano utahitaji kuthibitishwa kwa kutunguwa sheria na Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi la Jamhuri ya watu wa Zanzibar kwa kushirikiana na Baraza lake la Mawaziri, na Mkataba kupitishwa na kuundwa kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na ya Zanzibar kwa kufwata masharti yaliokubaliwa. "

Maelezo ya kuthibitisha madai haya yametolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamo wa Pili wa Jamhuri ya Muungano pamoja na Makamo Mwenyekiti wa CCM.

Amesema:" Mimi binafsi nilikua mjumbe wa Baraza la Mapinduzi, kwa wakati mmoja au mwengine, kwa cheo kimoja au chengine kutokea kuanzishwa kwa Baraza hilo hapo January 1964 hadi mwaka 1984 na nimeshindwa katika kumbukumbu zangu kupata ushahidi wa kufanyika kikao cha Baraza la Mapinduzi kama Zanzibar au Dar es Salaam ili kuthibitisha Mkataba wa Muungano".

Hebu mpaka hapa na itoshe kuweza kuujadili mada hii.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwepo kwa Muungano wa Tanzania kumekuwa ni jambo la kupigiwa mfano kwa upande mmoja na lenye kutiliwa mashaka kwa upande mwengine kutokana na kukosekana ushahidi wa kisheria unaothibitisha kuwa umefanywa kihalali kwa mujibu wa hati ya Mkataba wa Muungano.

Hizi ni nchi mbili ambazo ni Jamhuri tena zilikuwa huru na kila moja ilikua na kiti chake Umoja wa Mataifa. Jamhuri hizi zilikuwa na mabaraza yake ya kutunga Sheria Bunge kwa upande wa Tanganyika na Baraza la Mapinduzi kwa upande wa Zanzibar, kwa mujibu wa sheria za kimataifa vyombo vya kutunga Sheria vina umuhimu mkubwa katika mchakato wa kuziunganisha nchi.

Kazi ya Mbunge ya kuidhinisha Muungano ya nchi hutanguliwa na hatua ya kuwashirikisha wananchi kwa kuwauliza iwapo wanataka nchi zao ziungane. Hilo halikutendeka Tanganyika wala Zanzibar. Wengi wanaamini kwamba Muungano wa Tanzania hauna uhalali wa kisheria kwa sababu masharti ya uhalali wa Muungano huo yalikuwa ni pamoja na kuridhiwa na Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi la Zanzibar baada ya kukubaliwa na Marais wa nchi mbili (Tanganyika na Zanzibar).

Kuna kumbukumbu za kuridhiwa na Bunge la Tanganyika lakini hapana ushahidi hadi hivi sasa wa kuridhiwa kwa Mkataba huo na Baraza la Mapinduzi la Zanzibar.

Kifungu cha (Vlll) cha Mkataba wa Muungano kinaeleza hivi: "Mkataba huu wa Muungano utahitaji kuthibitishwa kwa kutunguwa sheria na Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi la Jamhuri ya watu wa Zanzibar kwa kushirikiana na Baraza lake la Mawaziri, na Mkataba kupitishwa na kuundwa kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na ya Zanzibar kwa kufwata masharti yaliokubaliwa. "

Maelezo ya kuthibitisha madai haya yametolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamo wa Pili wa Jamhuri ya Muungano pamoja na Makamo Mwenyekiti wa CCM.

Amesema:" Mimi binafsi nilikua mjumbe wa Baraza la Mapinduzi, kwa wakati mmoja au mwengine, kwa cheo kimoja au chengine kutokea kuanzishwa kwa Baraza hilo hapo January 1964 hadi mwaka 1984 na nimeshindwa katika kumbukumbu zangu kupata ushahidi wa kufanyika kikao cha Baraza la Mapinduzi kama Zanzibar au Dar es Salaam ili kuthibitisha Mkataba wa Muungano".

Hebu mpaka hapa na itoshe kuweza kuujadili mada hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni halali kisheria japo ni kweli Zanzibar haiku ratify muungano ila umehalalishwa na performance ya vipengele vya muungano.

Kama ili uhalali wa ndoa sio cheti cha ndoa ni consummation ya ndoa.
Mkichukuana na mtu, mkaishi kinyumba kama mke na mume, mkafanya tendo la ndoa kwa ridhaa yenu, kisheria itahesabika kama ndoa, hata kama hamna cheti cha ndoa, inaitwa presumption of marriage, ni ndoa yenye haki zote ispikuwa haina talaka.

Hivyo mkataba wa muungano ni mkataba halali hata kama mwanzo Zanzibar haikuridhia, lakini kitendo cha Zanzibar kutimiza vipengele vya muungano, kunahesabika ni kuridhia by performance.

Hili tumelizungumza sana humu
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani? - JamiiForums

Pia articles of union za muungano ni makubaliano yaani agreement na sio mkataba sio contract. Kila mkataba ni agreement ila sio kila agreement ni mkataba. Ili agreement iwe mkataba lazima iwe na sifa ya kuwa enforced by law, Articles of union ni agreement for life, not enforceable by law na hauna kipengele cha kuvunja mkataba, hivyo muungano wetu adhimu ni for life na tutaulinda kwa gharama yoyote
Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!. - JamiiForums

P
 
Kuwepo kwa Muungano wa Tanzania kumekuwa ni jambo la kupigiwa mfano kwa upande mmoja na lenye kutiliwa mashaka kwa upande mwengine kutokana na kukosekana ushahidi wa kisheria unaothibitisha kuwa umefanywa kihalali kwa mujibu wa hati ya Mkataba wa Muungano.

Hizi ni nchi mbili ambazo ni Jamhuri tena zilikuwa huru na kila moja ilikua na kiti chake Umoja wa Mataifa. Jamhuri hizi zilikuwa na mabaraza yake ya kutunga Sheria Bunge kwa upande wa Tanganyika na Baraza la Mapinduzi kwa upande wa Zanzibar, kwa mujibu wa sheria za kimataifa vyombo vya kutunga Sheria vina umuhimu mkubwa katika mchakato wa kuziunganisha nchi.

Kazi ya Mbunge ya kuidhinisha Muungano ya nchi hutanguliwa na hatua ya kuwashirikisha wananchi kwa kuwauliza iwapo wanataka nchi zao ziungane. Hilo halikutendeka Tanganyika wala Zanzibar. Wengi wanaamini kwamba Muungano wa Tanzania hauna uhalali wa kisheria kwa sababu masharti ya uhalali wa Muungano huo yalikuwa ni pamoja na kuridhiwa na Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi la Zanzibar baada ya kukubaliwa na Marais wa nchi mbili (Tanganyika na Zanzibar).

Kuna kumbukumbu za kuridhiwa na Bunge la Tanganyika lakini hapana ushahidi hadi hivi sasa wa kuridhiwa kwa Mkataba huo na Baraza la Mapinduzi la Zanzibar.

Kifungu cha (Vlll) cha Mkataba wa Muungano kinaeleza hivi: "Mkataba huu wa Muungano utahitaji kuthibitishwa kwa kutunguwa sheria na Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi la Jamhuri ya watu wa Zanzibar kwa kushirikiana na Baraza lake la Mawaziri, na Mkataba kupitishwa na kuundwa kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na ya Zanzibar kwa kufwata masharti yaliokubaliwa. "

Maelezo ya kuthibitisha madai haya yametolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamo wa Pili wa Jamhuri ya Muungano pamoja na Makamo Mwenyekiti wa CCM.

Amesema:" Mimi binafsi nilikua mjumbe wa Baraza la Mapinduzi, kwa wakati mmoja au mwengine, kwa cheo kimoja au chengine kutokea kuanzishwa kwa Baraza hilo hapo January 1964 hadi mwaka 1984 na nimeshindwa katika kumbukumbu zangu kupata ushahidi wa kufanyika kikao cha Baraza la Mapinduzi kama Zanzibar au Dar es Salaam ili kuthibitisha Mkataba wa Muungano".

Hebu mpaka hapa na itoshe kuweza kuujadili mada hii.


Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wao wa kwanza alishawauza. Wao wakubali matokeo.
No turning back
 
Hiyo "JAPO " ndiyo hoja yenyewe. Mahakama huru hiyo "JAPO" inaharibu kesi

Odhis *
Lengo la ratification ni kupata consent.
Ndoa ni makubaliano yenye consensus, ukimbaka mwanamke na kumuingilia bila ridhaa yake ni kosa la jinai, ili lihesabike ni kosa, lazima aliyebakwa alalamike na kushitaki.

Mwanamke akibakwa, asipolalamika na kushitaki atahesabiwa ameridhia. Ikitokea akashika ujauzito kutokana na ubakaji huo, akaamua kutulia kwa mbakaji na kila siku kuendelea kubakwa na hadi akajifungua na kulea mtoto, atahesabika ameridhia na uhusiano huo utahesabiwa ni ndoa halali.

Hivyo muungano wetu hata bila ya Zanzibar ratification as long as Zanzibar imetimizwa matakwa ya muungano, inahesabika imeridhia by performance.

P
 
Lengo la ratification ni kupata consent.
Ndoa ni makubaliano yenye consensus, ukimbaka mwanamke na kumuingilia bila ridhaa yake ni kosa la jinai, ili lihesabike ni kosa, lazima aliyebakwa alalamike na kushitaki.

Mwanamke akibakwa, asipolalamika na kushitaki atahesabiwa ameridhia. Ikitokea akashika ujauzito kutokana na ubakaji huo, akaamua kutulia kwa mbakaji na kila siku kuendelea kubakwa na hadi akajifungua na kulea mtoto, atahesabika ameridhia na uhusiano huo utahesabiwa ni ndoa halali.

Hivyo muungano wetu hata bila ya Zanzibar ratification as long as Zanzibar imetimizwa matakwa ya muungano, inahesabika imeridhia by performance.

P
Ahahahaaaa Mayalla umenikumbusha ujanani mwangu, early 70s
Kwetu huko tulikuwa tunawavizia wakitoka sokoni au hata kanisani. Ni kubeba mazima mabegani na ukishafikisha ndani ni NDOA tayari hiyo . Yaani asubuhi yake yeye mwenyewe huona aibu na kuridhia kubaki kuwa muolewaji. Hata kupigana kesi zutu ziliishia huko huko . Hakuna kuperekana POLICE . Ukipigwa nawe vizia . Maisha yalikuwa mazauri hatukuwa na kina Corona .

Lakini ipo siku moja lazima muungana huu utakufa. Kumbuka USSR

Odhis *
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni halali kisheria japo ni kweli Zanzibar haiku ratify muungano ila umehalalishwa na performance ya vipengele vya muungano.

Kama ili uhalali wa ndoa sio cheti cha ndoa ni consummation ya ndoa.
Mkichukuana na mtu, mkaishi kinyumba kama mke na mume, mkafanya tendo la ndoa kwa ridhaa yenu, kisheria itahesabika kama ndoa, hata kama hamna cheti cha ndoa, inaitwa presumption of marriage, ni ndoa yenye haki zote ispikuwa haina talaka.

Hivyo mkataba wa muungano ni mkataba halali hata kama mwanzo Zanzibar haikuridhia, lakini kitendo cha Zanzibar kutimiza vipengele vya muungano, kunahesabika ni kuridhia by performance.

Hili tumelizungumza sana humu
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani? - JamiiForums

Pia articles of union za muungano ni makubaliano yaani agreement na sio mkataba sio contract. Kila mkataba ni agreement ila sio kila agreement ni mkataba. Ili agreement iwe mkataba lazima iwe na sifa ya kuwa enforced by law, Articles of union ni agreement for life, not enforceable by law na hauna kipengele cha kuvunja mkataba, hivyo muungano wetu adhimu ni for life na tutaulinda kwa gharama yoyote
Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!. - JamiiForums

P

Hakuna njia rahisi ya kufanya siasa Zanzibar bila kuuongelea Muungano? Hivi nani kadanganya kuuvunja ni rahisi hivyo?
 
Kuwepo kwa Muungano wa Tanzania kumekuwa ni jambo la kupigiwa mfano kwa upande mmoja na lenye kutiliwa mashaka kwa upande mwengine kutokana na kukosekana ushahidi wa kisheria unaothibitisha kuwa umefanywa kihalali kwa mujibu wa hati ya Mkataba wa Muungano.

Hizi ni nchi mbili ambazo ni Jamhuri tena zilikuwa huru na kila moja ilikua na kiti chake Umoja wa Mataifa. Jamhuri hizi zilikuwa na mabaraza yake ya kutunga Sheria Bunge kwa upande wa Tanganyika na Baraza la Mapinduzi kwa upande wa Zanzibar, kwa mujibu wa sheria za kimataifa vyombo vya kutunga Sheria vina umuhimu mkubwa katika mchakato wa kuziunganisha nchi.

Kazi ya Mbunge ya kuidhinisha Muungano ya nchi hutanguliwa na hatua ya kuwashirikisha wananchi kwa kuwauliza iwapo wanataka nchi zao ziungane. Hilo halikutendeka Tanganyika wala Zanzibar. Wengi wanaamini kwamba Muungano wa Tanzania hauna uhalali wa kisheria kwa sababu masharti ya uhalali wa Muungano huo yalikuwa ni pamoja na kuridhiwa na Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi la Zanzibar baada ya kukubaliwa na Marais wa nchi mbili (Tanganyika na Zanzibar).

Kuna kumbukumbu za kuridhiwa na Bunge la Tanganyika lakini hapana ushahidi hadi hivi sasa wa kuridhiwa kwa Mkataba huo na Baraza la Mapinduzi la Zanzibar.

Kifungu cha (Vlll) cha Mkataba wa Muungano kinaeleza hivi: "Mkataba huu wa Muungano utahitaji kuthibitishwa kwa kutunguwa sheria na Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi la Jamhuri ya watu wa Zanzibar kwa kushirikiana na Baraza lake la Mawaziri, na Mkataba kupitishwa na kuundwa kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na ya Zanzibar kwa kufwata masharti yaliokubaliwa. "

Maelezo ya kuthibitisha madai haya yametolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamo wa Pili wa Jamhuri ya Muungano pamoja na Makamo Mwenyekiti wa CCM.

Amesema:" Mimi binafsi nilikua mjumbe wa Baraza la Mapinduzi, kwa wakati mmoja au mwengine, kwa cheo kimoja au chengine kutokea kuanzishwa kwa Baraza hilo hapo January 1964 hadi mwaka 1984 na nimeshindwa katika kumbukumbu zangu kupata ushahidi wa kufanyika kikao cha Baraza la Mapinduzi kama Zanzibar au Dar es Salaam ili kuthibitisha Mkataba wa Muungano".

Hebu mpaka hapa na itoshe kuweza kuujadili mada hii.


Sent using Jamii Forums mobile app
Legality
Legitimacy

Katika vitu viwili hapo kuna kimoja kinakosekana ila kwa sababu umetuliza suala la Legality jibu ni ndiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu Mungano kipindi hichi cha corona naona kama unaguswa guswa na mawaziri wa Afya.Takwimu haziendi sawia.
Ngoja ACT ichukue Zanzibar
 
Kwa muundo wetu wa hawa jamaa JWTZ ni ngumu sana kuvunja muungano kutokea Zanzibar labda Watanganyika wenyewe ndo wavunje
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni halali kisheria japo ni kweli Zanzibar haiku ratify muungano ila umehalalishwa na performance ya vipengele vya muungano.

Kama ili uhalali wa ndoa sio cheti cha ndoa ni consummation ya ndoa.
Mkichukuana na mtu, mkaishi kinyumba kama mke na mume, mkafanya tendo la ndoa kwa ridhaa yenu, kisheria itahesabika kama ndoa, hata kama hamna cheti cha ndoa, inaitwa presumption of marriage, ni ndoa yenye haki zote ispikuwa haina talaka.

Hivyo mkataba wa muungano ni mkataba halali hata kama mwanzo Zanzibar haikuridhia, lakini kitendo cha Zanzibar kutimiza vipengele vya muungano, kunahesabika ni kuridhia by performance.

Hili tumelizungumza sana humu
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani? - JamiiForums

Pia articles of union za muungano ni makubaliano yaani agreement na sio mkataba sio contract. Kila mkataba ni agreement ila sio kila agreement ni mkataba. Ili agreement iwe mkataba lazima iwe na sifa ya kuwa enforced by law, Articles of union ni agreement for life, not enforceable by law na hauna kipengele cha kuvunja mkataba, hivyo muungano wetu adhimu ni for life na tutaulinda kwa gharama yoyote
Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!. - JamiiForums

P

Japo sio mtaalam wa sharia lakini kuna walakini ktk hoja zako mkuu utanisahihisha kama nitakua nimepotoka,Mwanzo umesema muungano ni makubaliano,halafu mbele pia ukasema lakini upande mmoja haukukubali,nafikiri kama makubaliano hayakukubaliwa na pande zilizokua na nia ya kuingia kwenye makubaliano yanakufa kuwa makubaliono wakati ule wa kutokukubaliana,hii ya kuja kuwa ratified huko mbele kidogo inaingiza shaka.

All in all I love Muungano and I wish kama ndoto za Mwalimu na Nkurumah zingetimia za kuwa na United States of Africa,hapo tungekuwa na maendeleo ya kweli aisee!!
 
Japo sio mtaalam wa sharia lakini kuna walakini ktk hoja zako mkuu utanisahihisha kama nitakua nimepotoka,Mwanzo umesema muungano ni makubaliano,halafu mbele pia ukasema lakini upande mmoja haukukubali,nafikiri kama makubaliano hayakukubaliwa na pande zilizokua na nia ya kuingia kwenye makubaliano yanakufa kuwa makubaliono wakati ule wa kutokukubaliana,hii ya kuja kuwa ratified huko mbele kidogo inaingiza shaka.

All in all I love Muungano and I wish kama ndoto za Mwalimu na Nkurumah zingetimia za kuwa na United States of Africa,hapo tungekuwa na maendeleo ya kweli aisee!!
Uko right, nikiwa nauza gari yangu kwa shilingi milioni1, ukataka kununua nikakuambia tuandikishane, tukaandikishana mimi nikasaini, wewe hukusaini,
lakini ukanilipa ile milioni na nikakupa gari, hapo japo hukusaini lakini umetekeleza, hii kisheria inaitwa perfomance.

Hata kwenye ndoa, ndoa sio kile cheti cha ndoa ni lile tendo, hata mkifunga ndoa kanisani na mkasherehekea, kufika chumbani, hakuna kitu ni hakuna ndoa, lakini mkichukuana tuu na mwanamke na kuishi pamoja bila cheti chochote, lakini tendo lipo, hiyo ni ndoa.

Muungano uliridhiwa upande mmoja, kule hawakuridhia, ila wametekeleza vipengele vya muungano by performance.
Hivyo muungano ni halali.
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani? - JamiiForums
P
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni halali kisheria japo ni kweli Zanzibar haiku ratify muungano ila umehalalishwa na performance ya vipengele vya muungano.

Kama ili uhalali wa ndoa sio cheti cha ndoa ni consummation ya ndoa.
Mkichukuana na mtu, mkaishi kinyumba kama mke na mume, mkafanya tendo la ndoa kwa ridhaa yenu, kisheria itahesabika kama ndoa, hata kama hamna cheti cha ndoa, inaitwa presumption of marriage, ni ndoa yenye haki zote ispikuwa haina talaka.

Hivyo mkataba wa muungano ni mkataba halali hata kama mwanzo Zanzibar haikuridhia, lakini kitendo cha Zanzibar kutimiza vipengele vya muungano, kunahesabika ni kuridhia by performance.

Hili tumelizungumza sana humu
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani? - JamiiForums

Pia articles of union za muungano ni makubaliano yaani agreement na sio mkataba sio contract. Kila mkataba ni agreement ila sio kila agreement ni mkataba. Ili agreement iwe mkataba lazima iwe na sifa ya kuwa enforced by law, Articles of union ni agreement for life, not enforceable by law na hauna kipengele cha kuvunja mkataba, hivyo muungano wetu adhimu ni for life na tutaulinda kwa gharama yoyote
Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!. - JamiiForums

P
Pasco Sasa naanza kutilia shaka maelezo yako na ninaona kama unageuza mambo kuhalapisha hoja yako,kwa sheria uliyoisoma,hivi ndoa inakuwa presumed ili parties watambulike kama wanandoa na waendelee kuishi pamoja ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom