kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,313
- 12,613
Alikuwa mbunge Bara na Zanzibar. Anakujuwa kote anapendwa kote, Muungano utake nini tena.
Kusema kweli huu ndio muda mzuri wa kuimarisha na pengine kuukamilisha Muungano wetu.
Faida za muungano ziko wazi, huu Ndio ule muda mwafaka wa kufikiria na kutekeleza muungano wa serikali moja badala ya mbili au tatu.
Kusema kweli huu ndio muda mzuri wa kuimarisha na pengine kuukamilisha Muungano wetu.
Faida za muungano ziko wazi, huu Ndio ule muda mwafaka wa kufikiria na kutekeleza muungano wa serikali moja badala ya mbili au tatu.