mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Ohoo! Huu mwaka nitatuliza jini langu la mapenzi maana naona watu wanadhibitiana kwa mapanga tu!😬
Pole kwa familia ndugu na jamaa!.
Usilitulize, lifukuze kabisaa
Ohoo! Huu mwaka nitatuliza jini langu la mapenzi maana naona watu wanadhibitiana kwa mapanga tu!😬
Pole kwa familia ndugu na jamaa!.
We learn something new everydayHapo mkuu haujatoa elimu umeharibu fani za watu, nadhani hauna uzoefu, maji ya moto tena!
Hiko kitu huwa kinapingana na mazingira.
Ukitaka kiwe cha moto na tight, piga maji baridi(ya friji ama mtungini).
Na ukitaka kiwe cha baridi na loose, kipige maji moto!
Haya maneno siyasemi mimi, ni kwa mujibu wa makungwi.
Mtu aliyetengenezwa kiwandani hakui!Mbona picha ya chini ni binti na ya juu ni bibi?
Ya juu kuna makeup ½ kilo ya chini makeUp imetumika kila 7Mbona picha ya chini ni binti na ya juu ni bibi?
Alikuwa anaishi na mgonjwa, kweli Mganga hajigangi
Hiyo ya chini ni ya binti yake hayati Rufina!Hizi picha mbili ni za mtu mmoja?
Au nimeanza kuwa na "macho kumchuzi" mie?
Pengine ndio alitaka kufanya hivyo
Aliyetuletea hizi make up alaaniwe.Mbona picha ya chini ni binti na ya juu ni bibi?
Lione..😂Pumzika kabisa.
Mapenzi yenyewe yanakutesa balaa.
🤣🤣🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️
Natuliza tu..😂Usilitulize, lifukuze kabisaa
Hahahaha
Uzi wa tanzia lkn cmnt yako nimecheka
Ova
Hii nayo inakaa wapiRoho za mauti zipo kazini
Natuliza tu..😂