Sisiem watachana lini na vilaza, Just imagine mtu kama huyu ana maadui zaidi ya 15000 wasomi wa level ya Degree then anakuwa mkuu wa wilaya unasubiri nini kama si kifo cha CCM?
Note: Kawaacha Ndugu zake kadhaa ndiyo wale juzi walioandamana kwenye kwa Nape.
Ilipataje kura za urais kama mlikuwa hamuipendi?