VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ni nambari 40 kwenye orodha ya Wakuu wa Wilaya wapya. Si mwingine ni Festo Kiswaga-Nanyumbu. Alikuwa Rais wa Serikali ya Wanafunzi(UDSM) mwaka 2010. Ndiye muuaji na mzishi wa DARUSO. Sasa Rev. Square imekuwa Level Square.
Hakuna mapambano ya kimapinduzi. Kiswaga alishamakiza kilakitu. Sasa amepewa zawadi ya ushindi...
Hakuna mapambano ya kimapinduzi. Kiswaga alishamakiza kilakitu. Sasa amepewa zawadi ya ushindi...