Muswada wa Mahakama ya Kadhi kutikisa Bunge

Sio. Mahakama ya Kadhi ifanyike kidini, kwa maana ya iwekwe mfumo ndani ya imani ya Kiislam, ifanyike Misikitini and the likes.
Kuleta hoja iwe kwenye katiba, ya nchi ambayo haina Dini ni kuwa tunatengeneza chokochoko za kidini. May God lead us.
 
waislam hawana uwezo wa kuendesha hizo mahakama ndio maana wanategemea kodi ya umma hatu chuo chao tu pale moro wameshidwa walipwe bure na mkapa
 
Hairuhusiwi italeta mauaji kama walivyo wafuasi wake wauaji wa kubwa cc FaizaFoxy:riz na khatan
 
Moderator saidia kumuwekea poll huyu jamaa,

kingine ni kwamba wapewe mahakama ya kadhi lakini wajiendeshe wenyewe, kama wataweza ntaamini kwanini Muslim University pale morogoro wameigeuza kuwa kituo cha kucheza karate na shotokan
 
Last edited by a moderator:
Ibara ya 3, 13 na 26 ya Katiba ya sasa hairuhusu mahakama ya kadhi. Hasa hiyo ya 13.
 
Moderator saidia kumuwekea poll huyu jamaa,

kingine ni kwamba wapewe mahakama ya kadhi lakini wajiendeshe wenyewe, kama wataweza ntaamini kwanini Muslim University pale morogoro wameigeuza kuwa kituo cha kucheza karate na shotokan

Haaa haaaa! Morogoro chuo kama secondary, sielewi kwanini wanataka kodi iendeshe mahakama yao.
 
Last edited by a moderator:
mkuu huo ni mtizamo wako tu. mahakama za kadhi zipo sehemu mbalimbali duniani.hayo unayoyasema unayatoa wapi?
kama mwingereza aliweza kutupa mahakama ya kadhi ilitugawanya vipi watanzania? nyerere (mkatoliki) alipata supoti kubwa sana kutoka kwa waislam kupigania uhuru kuliko hata hao wakristo wenzake pamoja na kuwa waingereza walitupa kadhi court. nakushangaa kwa post ya aina hii isiyokuwa na mbele wala nyuma.


Yawezekana ilikuwa vigumu sana ku-practise equality na secularism ukizingatia kwa waingereza divide and rule ilikuwa ndio mbinu iliyokuwa inalipa kiutawala. Halafu kuwa na mahakama ya kadhi, ita-fall wapi kwenye judiciary ambayo ni moja ya branches za state.

Mi nilifikiri Islamic Banking ingewatosha ingawaje ni kinyume na cha sheria za nchi ambayo ilisimamiwa na Prof. Assad.

Hawa jamaa mwisho wa siku watadai katiba iseme kigezo cha kuwa raia wa Tanzania ni kuwa muislamu kama kila wanachoomba wanapewa!!
 
leta hiyo document hapa tuijadili au mnamezeshwa ujinga tu na nyie mnakuja kutapika hapa jamvini weka hapa tuone hiyo document ya kadhi kwa tanganyika
mkuu soma tu hilo tamko la jukwaa la wakirsto wametaja uwepo wa mahakama ya kadhi na ilifutwa mwaka 1964. au hata hilo tamko la viongozi wako unalipinga?
 
Mimi muislam lakini sikubali uanzishwaji wa mahakama ya qadhi,ni udhalilishaji wa haki za kibinaadam,mahakama ya qadhi ni kuturudisha dhama za Mussa....# HAPANA QADHI COURT.
 
mkuu huo ni mtizamo wako tu. mahakama za kadhi zipo sehemu mbalimbali duniani.hayo unayoyasema unayatoa wapi?
kama mwingereza aliweza kutupa mahakama ya kadhi ilitugawanya vipi watanzania? nyerere (mkatoliki) alipata supoti kubwa sana kutoka kwa waislam kupigania uhuru kuliko hata hao wakristo wenzake pamoja na kuwa waingereza walitupa kadhi court. nakushangaa kwa post ya aina hii isiyokuwa na mbele wala nyuma.

Soma katiba ya sasa ibara ya 3, 13, na 26, hasa ile ya 13 ndio utaelewa kuwa kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi ni kuvunja katiba ya nchi kwani itapingana na katiba. Na sheria yoyote inayopingana na katiba ni batili.

Islamic banking imeanzishwa kitendo ambacho ni uvunjaji wa katiba na financial and banking Act, na regulations za BoT, watu wamemezea, sasa mahakama ya kadhi!!

Msikilize vizuri Mtume Muhammad kupitia nukuu ya shekhe huyo anayemkaribisha Prof. Lipumba anachosema kuwa Uislamu ni mfumo wa maisha hivyo sio rahisi kutenganisha dini hiyo na maisha ya kila siku, je hii maanake ni nini?

Hivi waslamu walimsaidia Nyerere kuleta uhuru ili nchi iwe ya Kiislamu.

[video=youtube_share;ujwfFUUAD70]http://youtu.be/ujwfFUUAD70[/video]
 
Wanataka mahakama ya kadhi ihukumu nini na au igawe haki kwa nani, hivi waislam wana maana mtu aweza hukumiwa mara mbili kwa kosa moja?

Kama hii dini inashinikiza kusikiliza kesi na kutoa hukumu itakuwaje hao watakao hukumiwa kiislam itakapofika siku ya kiama, mungu wao hatawahukumu kwa makosa waliyokwishatumikia adhabu duniani.
 
Kama bunge la jamhuri ya muungano Tanzania litaafiki na kupitisha muswada wa kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi Tanzania na rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ni muislamu kwa imani na mlinzi mweye dhamana ya kuilinda katiba ataitia saini kuwa sheria, je huo hautakuwa mwanzo wa nchi kuendeshwa kwa shheria za kiislam na hivyo kuwanyima raia uhuru wa kuabudu? Ikumbukwe kuwa serikali hii isiyo na dini na inayodaiwa kuendeshwa kwa mfumo kristo imeridhia na kuidhinisha waislamu kuchinja vitoweo hata kama walaji si waislam na walewaliojaribu wanajua nini athari zake . Sasa kuja kwa mahakama si kuja kwa sharia? Kuja kwa sharia si kuongoza kwa mujibu wa sharia kwa kigezo cha utawala wa sharia? Je watu wa dini zingine wana haki zao nchi hii au zimetiwa kapuni kuwafurahisha baadhi? Naaomba ufafanuzi wenu wanajamvi. utaifa kwanza.
 
Kenya,Uganda mahakama ya Kadhu ipo, Jee wanaendeshwa na Sharia?Umefanya jitihada gani kuzuia ndoa za jinsia moja kanisani?
 
Kenya,Uganda mahakama ya Kadhi ipo, Jee wanaendeshwa na Sharia?Umefanya jitihada gani kuzuia ndoa za jinsia moja kanisani?
 
Hawa jamaa wanaanza kudai kimoja kimoja kama Zanzibar.
Mwisho wa siku wakifanikiwa watakuja na gia ya Alhamis na Ijumaa iwe siku ya mapumziko kama ilivyo Jumamosi na Jumapili.
Tusubiri tuone, make walisha haidiwa.
 
Kenya,Uganda mahakama ya Kadhu ipo, Jee wanaendeshwa na Sharia?Umefanya jitihada gani kuzuia ndoa za jinsia moja kanisani?

Kwani ikiwepo Uganda ndio na Tanzania iwepo? Wao wana katiba yao na sisi tunayo ya kwetu. Kwani hii ni issue ya EAC?
Kwani katiba yetu inaruhusu ndoa za jinsi moja? Sheria ya ndoa unaijua wewe?
 
Back
Top Bottom