Muswada: Ukimaliza chuo ukae miaka mitano ndio uajiriwe

Muswada: Ukimaliza chuo ukae miaka mitano ndio uajiriwe

Wakfanya ivyo vjna weng watakacha kwenda chuo. Nch za wenzetu vjana wanapata ajira wakiwa mwaka wao wa mwisho. Yan wanamaliza wanakula mktaba.
 
Huna akili wewe.. Eti equity Vs equality.. Tatizo umesoma shule za Kata za kukaririsha.
Mbona umekuwa mkali na matusi juu wakati umshauriwa kajiridhishe?
Hukuambiwa umekosea.

Ongeza tusi jingine basi uifurahishe nafsi yako.
 
wakati mwingine huu wimbo wa ajira unatia hasira sana, kwani ajira imekuwa mbingu? hivi ni lazima kila msomi wa chuo aajiriwe?
ifikie hatua watu tuache kuwaza kuajiriwa, yaani ifanyike namna ya kumfanya kila mwanachuo awaze namna ya kujiajiri akimaliza chuo.
watu huwa wanalia lia mtaji wakati walipokuwa chuo waliishi maisha ya gharama, starehe, wanawaza kupendeza badala ya kuweka akiba au kuwekeza.
Baada ya kumaliza chuo wakipigika mtaani ndio wanaaza kujutia hela walizokuwa wanahonga na kunywea pombe.
Pesa ya kuweka akiba chuoni ni ipi? Labda kama unapewa kila kitu na wazazi halafu unapewa na mkopo.... Lakini Nina uhakika wewe mwenyewe umeajiriwa ,
 
Kwa mliopo chuo jifunzeni kujitengenezea connections kulingana na fani unayosoma au kipaji ulichonacho
Maisha ya chuo ni zaidi ya QUIZ, TEST & UE jihusishe kwenye mambo ya ziada kama social clubs na organizations zenye positive effects katika maisha ya chuoni na baada ya chuo
 
Ungesema hivi na ajira iwe miaka mi 5 unarud bench hii ingesaidia sana kupunguza nyie mnaoongea kwa jeuri baada ya kua na uhakika wa ajira sisi tuje huko kwny nafasi zenu tubadilishane kukaa bench
 
Wewe Badala useme mtu aajiriwe kwa miaka kumi na tano then aachishwe kazi(Astaafu) ili wengine waajiriwe kwani tayari atakuwa amepata Mtaji wewe unamuonea mwenzako donge.
 
Mimi naona ikae hivi...

Mfumo wa ajira uwe kama wa elimu hivi...

Kama ambavyo kila mwaka kuna wanaograduate na freshers... The same iwe kwenye ajira.
 
Pambana na hali yako acha wivu wa kike huo ni umama..
mwajiri hawezi kuajili kilaza akamuacha mtu na mwenye kujiweza kwa sababu za kishamba kama hizo.
 
Safi sana kama ni kweli maana watu watakuwa wanamaliza Chuo kisha wana endeleza kile walicho anzisha toka primary, kama ufugaji au kilimo au Biashara.

Eti unakuta mtu anasomea Chuo cha Biashara kwa Pesa za Mama yake muuza vitumbua, ana simu ya Milion 1 wakati angeweza kutafuta namna ya kukuza Biashara ya Mama yake na kuifanya iwe Biashara ya Familia.


Au familia yako yote ni watu Kilimo harafu unaenda kusomea sijui IT, matokeo yake huwezi kufanya mageuzi katika Kilimo zaidi ukipata kazi tegemezi kibao mpaka watoto wa Dada zako, lakini ukiungana nao na ukaenda kusomea Kilimo unaweza kufanya mageuzi katika Familia mpaka kijiji na watu wakabadilisha Maisha yao,


Mh nakuelewa sana Mungu akupe nguvu endelea kupiga msumari watu wajitambue zaidi maana bila Msumari wa Kichwa hatutafika.
Bila shaka utakuwa umeshafanya mageuzi makubwa nyumbani kwenu
 
Pambana na hali yako acha wivu wa kike huo ni umama..
mwajiri hawezi kuajili kilaza akamuacha mtu na mwenye kujiweza kwa sababu za kishamba kama hizo.

Kwa jinsi tu ulivyochangia moja kwa moja inaonyesha kiwango chako cha elimu kuwa duni, maendeleo na uwezo wako wa akili ulivyokuwa underevarage.
Ungekuwa na Elimu na akili ya kutosha usingechangia Kama ulivyofanya.
 
Kwa jinsi tu ulivyochangia moja kwa moja inaonyesha kiwango chako cha elimu kuwa duni, maendeleo na uwezo wako wa akili ulivyokuwa underevarage.
Ungekuwa na Elimu na akili ya kutosha usingechangia Kama ulivyofanya.
Nimeishia la saba ila naweza kukuajiri wewe hadi unakufa na pension yako ya 25% nikakulipia pia huko nssf..
 
Nimeishia la saba ila naweza kukuajiri wewe hadi unakufa na pension yako ya 25% nikakulipia pia huko nssf..
Kati ya mimi na wewe, wakumuajiri mwenzake nani?me utajiri wangu si ya matambiko na kutoa kafara
Nyie ambee hamjasoma wengi wenu japo si wote ni washirikina, hamna akili ya kutafuta pesa zaidi ya kuloga na kutoa makafara.
 
Hao hao warogaji na washirikina ndio serikali inawategemea walipe kodi kutokana na biashara zao ili iwalipe mishahara kidogo nyie wafanyakazi wasomi😂😀
 
Back
Top Bottom