Muswada: Ukimaliza chuo ukae miaka mitano ndio uajiriwe

Muswada: Ukimaliza chuo ukae miaka mitano ndio uajiriwe

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
3,011
Reaction score
5,688
Hapo vipi!

Kwanini nchi yetu isipitishe sheria ya kufanya wahitimu wa vyuo vikuu waajiriwe baada ya kukaa miaka mitano mtaani.

Serikali Kwa nini isiandaye utaratibu mtu akimaliza chuo kikuu afanye internship katika taasisi za serikali na binafsi Kwa muda wa miaka mitano then Baada ya hapo ndio hawe full qualified kupewe ajira popote.

Hii itasaidia kuleta equity and fair kwenye soko la ajira, kwasbabu sasa hivi kunawatu akimaliza chuo akai hata mwezi mtaani anapata kazi kutokana na connection fulani, fulani then anamuacha mtu aliyekaa mtaani muda mrefu.

Pia itasaidia mtu apate experience wanayoitaji sehemu za kazi.

Pia itasaidia waajiriwa wawe competent katika maeneo ya kazi.

Nawasilisha hoja.
 
Safi sana kama ni kweli maana watu watakuwa wanamaliza Chuo kisha wana endeleza kile walicho anzisha toka primary, kama ufugaji au kilimo au Biashara.

Eti unakuta mtu anasomea Chuo cha Biashara kwa Pesa za Mama yake muuza vitumbua, ana simu ya Milion 1 wakati angeweza kutafuta namna ya kukuza Biashara ya Mama yake na kuifanya iwe Biashara ya Familia.


Au familia yako yote ni watu Kilimo harafu unaenda kusomea sijui IT, matokeo yake huwezi kufanya mageuzi katika Kilimo zaidi ukipata kazi tegemezi kibao mpaka watoto wa Dada zako, lakini ukiungana nao na ukaenda kusomea Kilimo unaweza kufanya mageuzi katika Familia mpaka kijiji na watu wakabadilisha Maisha yao,


Mh nakuelewa sana Mungu akupe nguvu endelea kupiga msumari watu wajitambue zaidi maana bila Msumari wa Kichwa hatutafika.
 
Utaratibu huu ad mungu hawez kuufata bcoz mtoto anazaliwa leo anadead, mwingne wik, mwezi, mwaka,So haiko ivo
 
Mimi nashauri vyuo vifungwe tu kwanza mpaka wahitimu wote wapate kujiajiri au kuajiriwa ndipo vyuo vianze tena kufundisha.
 
jaribu kuizibiti chuki yako kabla haijayahitaji maisha yako yani unafikiri kila kitu kazima serikali itunge sheria ya kukikontrol usipoangalia utasema na wanaokula bata wachunguzwe kama wana viwanda nyumbani vya kuprint hela
 
wakati mwingine huu wimbo wa ajira unatia hasira sana, kwani ajira imekuwa mbingu? hivi ni lazima kila msomi wa chuo aajiriwe?
ifikie hatua watu tuache kuwaza kuajiriwa, yaani ifanyike namna ya kumfanya kila mwanachuo awaze namna ya kujiajiri akimaliza chuo.
watu huwa wanalia lia mtaji wakati walipokuwa chuo waliishi maisha ya gharama, starehe, wanawaza kupendeza badala ya kuweka akiba au kuwekeza.
Baada ya kumaliza chuo wakipigika mtaani ndio wanaaza kujutia hela walizokuwa wanahonga na kunywea pombe.
 
wakati mwingine huu wimbo wa ajira unatia hasira sana, kwani ajira imekuwa mbingu? hivi ni lazima kila msomi wa chuo aajiriwe?
ifikie hatua watu tuache kuwaza kuajiriwa, yaani ifanyike namna ya kumfanya kila mwanachuo awaze namna ya kujiajiri akimaliza chuo.
watu huwa wanalia lia mtaji wakati walipokuwa chuo waliishi maisha ya gharama, starehe, wanawaza kupendeza badala ya kuweka akiba au kuwekeza.
Baada ya kumaliza chuo wakipigika mtaani ndio wanaaza kujutia hela walizokuwa wanahonga na kunywea pombe.
hutakiwi kuwalaumu hawa madogo kula bata chuo kama wana viwanda vya kuprint hela hiyo ni kawaida kabisa kwa umri wao
 
Hapo vip!!
Kwanini Nchi yetu isipitishe sheria ya kufanya wahitimu wa vyuo vikuu waajiriwe baada ya kukaa miaka mitano mtaani.

Serikali Kwa nini isiandaye utaratibu mtu akimaliza chuo kikuu afanye internship katika taasisi za serikali na binafsi Kwa muda wa miaka mitano then Baada ya hapo ndio hawe full qualified kupewe ajira popote.

Hii itasaidia kuleta equity and fair kwenye soko la ajira, kwasbabu sasa hivi kunawatu akimaliza chuo akai hata mwezi mtaani anapata kazi kutokana na connection fulani, fulani then anamuacha mtu aliyekaa mtaani muda mrefu.

Pia itasaidia mtu apate experience wanayoitaji sehemu za kazi.

Pia itasaidia waajiriwa wawe competent katika maeneo ya kazi.

Nawasilisha hoja.
Kama unaona kuna mambo ya connection ndio yanakutatiza basi unegsema ajira ZOTE zipitie tume, hata za binafsi
 
Back
Top Bottom