Nimependa stori yake ni mkweli sana ni mejifunza mengi kutoka kwa maisha yake, vijana sikilizeni hiyo stori yake mtajifunza mengi, huyu jamaa alishawahi kua na mamillioni ya pesa na akafilisika na kua shoe shiner kkoo ila akukata tamaa, aliendelea na kupambana mpaka kua billioneer tena, alisha wahi kuendesha tax pamoja na magufuli, Jpm alikua anendesha usiku mpaka asbuhi yeye mchana tu, kila mtu ana historia yake huwezi kupata utajiri ukika tu kwenye mtandao wa kijamii kukosoa wengine na kutukana, life is risky ni kudhubutu, ni hapo ndo wasomi wetu wanashindwa. Msomi una PhD kweli unalipwa mshahara wa 800,000 kwa mwezi na unaridhika.