Musukuma adai yeye ni bilionea

Musukuma adai yeye ni bilionea

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,419
Reaction score
5,021
Sio sahihi sana kukupa hesabu ya mali ninazomiliki lakini ninaweza kuwepo kwenye orodha ya Mabilionea wa Tanzania, siwezi kusema namiliki Billioni ngapi lakini nipo humo, mimi sio msomi, lakini siku hizi Wasomi wapo wengi, nikitaka kujua thamani ya mali zangu nitawapa Wasomi wafanye valuation"

"Nimeanza kumiliki mali muda mrefu, mwaka 1997 nilikutana na Wajanja wa Dar wakanipiga nilifilisika kabisa nikawa sina hata Millioni, kipindi kile miaka ya 90' Wabunge walikuwa wanapewa GX kama Gari za kutembelea lakini mimi nilinunua Toyota yangu ya kwanza mwaka 1997, kwa Mwanza nzima nilikuwa nayo mimi peke yangu tu"
 
Haka kajamaa kaongo sana duu
Sio sahihi sana kukupa hesabu ya mali ninazomiliki lakini ninaweza kuwepo kwenye orodha ya Mabilionea wa Tanzania, siwezi kusema namiliki Billioni ngapi lakini nipo humo, mimi sio msomi, lakini siku hizi Wasomi wapo wengi, nikitaka kujua thamani ya mali zangu nitawapa Wasomi wafanye valuation"

"Nimeanza kumiliki mali muda mrefu, mwaka 1997 nilikutana na Wajanja wa Dar wakanipiga nilifilisika kabisa nikawa sina hata Millioni, kipindi kile kiaka ya 90' Wabunge walikuwa wanapewa GX kama Gari za kutembelea lakini mimi nilinunua Toyota yangu ya kwanza mwaka 1997, kwa Mwanza nzima nilikuwa nayo mimi peke yangu tu"
 
Sio sahihi sana kukupa hesabu ya mali ninazomiliki lakini ninaweza kuwepo kwenye orodha ya Mabilionea wa Tanzania, siwezi kusema namiliki Billioni ngapi lakini nipo humo, mimi sio msomi, lakini siku hizi Wasomi wapo wengi, nikitaka kujua thamani ya mali zangu nitawapa Wasomi wafanye valuation"

"Nimeanza kumiliki mali muda mrefu, mwaka 1997 nilikutana na Wajanja wa Dar wakanipiga nilifilisika kabisa nikawa sina hata Millioni, kipindi kile kiaka ya 90' Wabunge walikuwa wanapewa GX kama Gari za kutembelea lakini mimi nilinunua Toyota yangu ya kwanza mwaka 1997, kwa Mwanza nzima nilikuwa nayo mimi peke yangu tu"
Hawa watu wasipokemewa kuhusu kudharau wasomi na elimu kwa sababu tu wamefanikiwa kibiashara tutajenga Taifa la hovyo
 
Sio sahihi sana kukupa hesabu ya mali ninazomiliki lakini ninaweza kuwepo kwenye orodha ya Mabilionea wa Tanzania, siwezi kusema namiliki Billioni ngapi lakini nipo humo, mimi sio msomi, lakini siku hizi Wasomi wapo wengi, nikitaka kujua thamani ya mali zangu nitawapa Wasomi wafanye valuation"

"Nimeanza kumiliki mali muda mrefu, mwaka 1997 nilikutana na Wajanja wa Dar wakanipiga nilifilisika kabisa nikawa sina hata Millioni, kipindi kile kiaka ya 90' Wabunge walikuwa wanapewa GX kama Gari za kutembelea lakini mimi nilinunua Toyota yangu ya kwanza mwaka 1997, kwa Mwanza nzima nilikuwa nayo mimi peke yangu tu"

Historia yake kaielezea na kaelezea mitkasi zake zote nzuri na mbaya...
 
Aache ujinga mbona ajiduni sana kuhusu elimu daily.
 
Siku zote alituheshimisha wa La Saba...ila kwa sasa Sisi wa La saba anatudhalilisha huyu mtu.

Bora angejinyamazia..
 
Back
Top Bottom