cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
๐๐๐๐๐๐Candy crush, temple run & subway suffer.. yako tayari. Niongeze yapi?
๐๐๐๐๐๐Candy crush, temple run & subway suffer.. yako tayari. Niongeze yapi?
Warm up ya D9Nimepata taarifa ya kutokea kwa vurugu na rabsha za hapa na pale huko ukweni, ningependa kupata abc hapa JF maana nimejaribu kuperuzi huku na kule sijapata dondoo zozote kuhusu hili wakuu,,
Nawasilisha,,
Baada ya tarifa hii nimejaribu kuwasiliana na watu waishio maeneo tajwa. Watu zaidi ya 10 mitaa tofauti tofauti. Kila mmoja ananishangaa na kuniuliza nimeokota wapi habari hizi.Musoma mjini mpaka Nyamongo huko,, hakuna amani
jipige kifua halafu sema mimi ni mjinga sina watu sahihiBaada ya tarifa hii nimejaribu kuwasiliana na watu waishio maeneo tajwa. Watu zaidi ya 10 mitaa tofauti tofauti. Kila mmoja ananishangaa na kuniuliza nimeokota wapi habari hizi.
๐๐๐๐jipige kifua halafu sema mimi ni mjinga sina watu sahihi
๐๐jipige kifua halafu sema mimi ni mjinga sina watu sahihi
UMETOA WAPI HIZI TAARIFA? JANA NILIKUWEPO MUSOMA JIONI MPAKA SAA MOJA USIKU, HAKUKUWA NA LOLOTE.Nimepata taarifa ya kutokea kwa vurugu na rabsha za hapa na pale huko ukweni, ningependa kupata abc hapa JF maana nimejaribu kuperuzi huku na kule sijapata dondoo zozote kuhusu hili wakuu,,
Nawasilisha,,
Kufanikiwa kuzima maandamano by police wa TZ ipo determined na idadi ya watakaojitokeza. Experience yangu ya 29 october, waandamanaji hawakuwa wengi lkn waliitoa kamasi jeshi la polisi. Vilikuwa vikundi vya vijana wasiofika hata 100, wakiwa maeneo tofautitofauti. Najaribu kufikiria kama idadi itakuwa mara 2,3,4......Hahaha ulinzi umewekwa kwenye majiji vurugu zinafanyika sehemu wasizo tarajia ๐คฃ
Kuna dude linaitwa 10,000 offline games, no wife needed.Candy crush, temple run & subway surfer.. yako tayari. Niongeze yapi?
Unajua uelekeo lkn?Kwamba teyari kushawaka huko kweli na sie huku daslamu tuanze harakati zetu
Aisee ni balaaUnajua uelekeo lkn?
Huko tiktok ni fire
Kwasababu nimesema watu wanashangaa nilipotoa hizi habari?jipige kifua halafu sema mimi ni mjinga sina watu sahihi