Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,832
- 15,032
Kama wiki kadhaa hivi sikua na maelewano mazuri na malkia wangu wa nguvu..Hii ni baada ya wananzengo kumpa umbea kwamba nachepuka...KITU AMBACHO SI CHA KWELI(nimebold kuwasaidia wenye matatizo ya macho)..
Nilijaribu kujitetea na kumuelewesha shemeji/wifi yenu akanielewa ila kwa shingo upande..Nilikugundua hilo baada ya kuona baadhi ya huduma zimesitishwa bila sababu za msingi..Basi Mungu si Kabanga..Jana katika pitapita zangu ndo nikakutana na huu wimbo wa Ruby..Ulinibariki sana.....Nikaamua nimtumie na mpendwa wangu pia..
Leo wakati nataka kutoka akaniita chumbani akaniambia maneno ya kwenye ule wimbo yamemgusa sana so alikuwa anauliza kama na mimi nimeyamaanisha..Nikamwambia ndio..Basi akaanza kulia huku akiongea baadhi ya maneno ambayo yamenichoma sana..Baada ya hapo ikafwata mechi kali..Hapa naandika nikiwa mapumziko..
Ahsante sana Ruby..Ntakuwa shabiki wako forever
Nilijaribu kujitetea na kumuelewesha shemeji/wifi yenu akanielewa ila kwa shingo upande..Nilikugundua hilo baada ya kuona baadhi ya huduma zimesitishwa bila sababu za msingi..Basi Mungu si Kabanga..Jana katika pitapita zangu ndo nikakutana na huu wimbo wa Ruby..Ulinibariki sana.....Nikaamua nimtumie na mpendwa wangu pia..
Leo wakati nataka kutoka akaniita chumbani akaniambia maneno ya kwenye ule wimbo yamemgusa sana so alikuwa anauliza kama na mimi nimeyamaanisha..Nikamwambia ndio..Basi akaanza kulia huku akiongea baadhi ya maneno ambayo yamenichoma sana..Baada ya hapo ikafwata mechi kali..Hapa naandika nikiwa mapumziko..
Ahsante sana Ruby..Ntakuwa shabiki wako forever