Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,809
- 156,945
Kama umemwelewa vizuri mtoa hoja ni "kutokupoteza yaani wagonjwa kupona bila kufariki"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa viongozi wametumia uzoefu wa China, makosa ya US na Italy, kuwalinda raia wao. Siku zote mtu mwerevu hutumia makosa ya watangulizi wake ili kuzuia makosa.
Trump amekiri kuwa Wamarekani wasingkufa kiaisi cha sasa kama wangekuwa wamejua mapema uzito wa tatizo. Hii ina maana anakiri kuna makosa wamefanya kutokana na kitokujua uziro wa Tatizo.
Mataifa ya Afrika hayana cha kusingizia. Wamejua kilichotokea China. Wanaona kinachoendelea Ulaya na America. Wanajua makosa yaliyofanywa na mataifa haya. Wao nao kupita kwenye njia ile ile, au ni kukosa akili au kiburi cha ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app