Museveni na Kagame, heko!

Kama umemwelewa vizuri mtoa hoja ni "kutokupoteza yaani wagonjwa kupona bila kufariki"
Hawa viongozi wametumia uzoefu wa China, makosa ya US na Italy, kuwalinda raia wao. Siku zote mtu mwerevu hutumia makosa ya watangulizi wake ili kuzuia makosa.

Trump amekiri kuwa Wamarekani wasingkufa kiaisi cha sasa kama wangekuwa wamejua mapema uzito wa tatizo. Hii ina maana anakiri kuna makosa wamefanya kutokana na kitokujua uziro wa Tatizo.

Mataifa ya Afrika hayana cha kusingizia. Wamejua kilichotokea China. Wanaona kinachoendelea Ulaya na America. Wanajua makosa yaliyofanywa na mataifa haya. Wao nao kupita kwenye njia ile ile, au ni kukosa akili au kiburi cha ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hii comment umejaza points nyingi ambazo unazidi kuwapaka matope hawa marais wako bora.
Maendeleo yao,,yapo kawaida sana.
Demokrasia rwanda na uganda zina demokrasia ?
Hivi unaweza kaa mbele ya hadhara na kusema hawa marais,watu wao wanawakubali ?
Mbona sasa wakikosolewa na watu wao hao wanaowakubali wanawauwa ?
Ukosowaji wa wazi unaofanywa kwa serikali hapa tanzania ukifanya rwanda kwa mr butcher paul kagame anakula kichwa fasta,hatakagi jamu na makelele ya wakosoaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani apa hamuui? Damu za watu wasio na hatia zimewahamishia Chato.Mnashinda kwenye mawe kama mijusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote Marais waliopikwa vyema Kisiasa kisha wakapatiwa na Mafunzo mazuri ya Kijeshi na wakaja kuwa Wanajeshi ikitokea wakatawala nchi basi hiyo nchi itapiga mno hatua za Kimaendeleo kuliko wale Marais wanaotokea katika Maabara za Kikemia pekee huku wakiwa wamepita Jeshini kwa Miezi Mitatu tu. Hayati Baba wa Taifa Nyerere hakuwa Mjinga au Mpumbavu kuwapenda akina Museveni na Kagame kwani nje ya wao kuwa Wapambanaji wa Msituni lakini pia alishawaona kuwa wana Akili sana Vichwani mwao na wana Mapenzi ya Kweli na Wananchi wao.
Nyerere vs M7 & PK: Damu nzito kuliko maji!
Kama hujaelewa naamini kuna wanaonielewa!
 
wanaokoa mateka kwa kutumia ‘silaha’ wanazopokea kutoka Bandari ya Dar es Salaam. Mungu ibariki Tanzania.
 
Siku zote Marais waliopikwa vyema Kisiasa kisha wakapatiwa na Mafunzo mazuri ya Kijeshi na wakaja kuwa Wanajeshi ikitokea wakatawala nchi basi hiyo nchi itapiga mno hatua za Kimaendeleo kuliko wale Marais wanaotokea katika Maabara za Kikemia pekee huku wakiwa wamepita Jeshini kwa Miezi Mitatu tu. Hayati Baba wa Taifa Nyerere hakuwa Mjinga au Mpumbavu kuwapenda akina Museveni na Kagame kwani nje ya wao kuwa Wapambanaji wa Msituni lakini pia alishawaona kuwa wana Akili sana Vichwani mwao na wana Mapenzi ya Kweli na Wananchi wao.

Very funny mkuu, YM amepikwa vizuri na nchi ya Uganda inapaa kimarndeleo!! This is hilarious mkuu.

Ukisikia ule msemo, "the grass is always greener on the other side" ndio kama hivi ulivyoandika.
 
Siku zote Marais waliopikwa vyema Kisiasa kisha wakapatiwa na Mafunzo mazuri ya Kijeshi na wakaja kuwa Wanajeshi ikitokea wakatawala nchi basi hiyo nchi itapiga mno hatua za Kimaendeleo kuliko wale Marais wanaotokea katika Maabara za Kikemia pekee huku wakiwa wamepita Jeshini kwa Miezi Mitatu tu. Hayati Baba wa Taifa Nyerere hakuwa Mjinga au Mpumbavu kuwapenda akina Museveni na Kagame kwani nje ya wao kuwa Wapambanaji wa Msituni lakini pia alishawaona kuwa wana Akili sana Vichwani mwao na wana Mapenzi ya Kweli na Wananchi wao.
Kwaiyo Uganda imepata maendeleo?
 
Watanzania unapenda misha sana, sacha corona itufundishe adabu...

Yaani hadi leo watu wanadhurura hovyo hovyo bila tahadhari yeyote....

Masomo yote biashara kama kawaida..
Ubungo terminal kama kawa...
Mwendo kasi kama kawa...

Media zote zifunge vipindi vyote vitangaze Corona tu...

Muombe Muumba wako huku unakimbia...sasa sisi tunaomba huku tumeketi na adui anazidi kutusogelea...huko ni kumjaribu Mungu wa Ibrahim, Mungu wa isaka....
 
Watanzania unapenda misha sana, sacha corona itufundishe adabu...

Yaani hadi leo watu wanadhurura hovyo hovyo bila tahadhari yeyote....

Masomo yote biashara kama kawaida..
Ubungo terminal kama kawa...
Mwendo kasi kama kawa...

Media zote zifunge vipindi vyote vitangaze Corona tu...

Muombe Muumba wako huku unakimbia...sasa sisi tunaomba huku tumeketi na adui anazidi kutusogelea...huko ni kumjaribu Mungu wa Ibrahim, Mungu wa isaka....
 
Wewe jifungie Ndani
Watanzania unapenda misha sana, sacha corona itufundishe adabu...

Yaani hadi leo watu wanadhurura hovyo hovyo bila tahadhari yeyote....

Masomo yote biashara kama kawaida..
Ubungo terminal kama kawa...
Mwendo kasi kama kawa...

Media zote zifunge vipindi vyote vitangaze Corona tu...

Muombe Muumba wako huku unakimbia...sasa sisi tunaomba huku tumeketi na adui anazidi kutusogelea...huko ni kumjaribu Mungu wa Ibrahim, Mungu wa isaka....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza.Mungu alituumba kwa mfano wake. Usifanye uzembe useme hakuna mtu anaweza kuzui kifo. Kifo kinazuilika.Acha uzembe
Hivyo Pilato akamwambia, “Husemi nami? Je, hujui kwamba ninayo mamlaka ya kukufungua na mamlaka ya kukusulubisha?” 11 Yesu akamjibu, “Hungekuwa na mamlaka yoyote juu yangu kama hungepewa na Mungu.
 
Back
Top Bottom