Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,501
- 9,280
wananchi Uganda
Takriban maafisa 2,000 wa kijeshi wamepandishwa ngazi katika mabadiliko yaliofanywa Ijumaa Februari 8, na Rais wa Uganda Yoweri Museveni
Miongoni mwa wale waliopandishwa ngazi ni pamoja na mwanawe Museveni Muhoozi Kainerugaba.
Muhoozi aliteuliwa kuwa Luteni Jenerali pamoja na majenerali wengine 10.
Ingawa Muhoozi yuko na mafunzo ya juu sana ya kijeshi, kupandishwa kwake kwa madaraka kwa muda mfupi umezua hisia mseto miongoni mwa wananchi Uganda.
Wakosoaji wa rais huyo mwenye umri wa miaka 87 wanaamini kuwa Muhoozi anaandaliwa kuchukua hatamu za uongozi kutoka kwa babake punde atakapostaafu.
Muhoozi alianza mafunzo yake ya kijeshi mwaka wa 1994 punde tu alipomaliza masomo ya sekondari, alijiunga na jeshi mwaka wa 1999 na akaandikwa kazi katika jeshi la Royal Military Academy Sandhurst kule Uingereza.
Takriban maafisa 2,000 wa kijeshi wamepandishwa ngazi katika mabadiliko yaliofanywa Ijumaa Februari 8, na Rais wa Uganda Yoweri Museveni
Miongoni mwa wale waliopandishwa ngazi ni pamoja na mwanawe Museveni Muhoozi Kainerugaba.
Muhoozi aliteuliwa kuwa Luteni Jenerali pamoja na majenerali wengine 10.
Ingawa Muhoozi yuko na mafunzo ya juu sana ya kijeshi, kupandishwa kwake kwa madaraka kwa muda mfupi umezua hisia mseto miongoni mwa wananchi Uganda.
Wakosoaji wa rais huyo mwenye umri wa miaka 87 wanaamini kuwa Muhoozi anaandaliwa kuchukua hatamu za uongozi kutoka kwa babake punde atakapostaafu.
Muhoozi alianza mafunzo yake ya kijeshi mwaka wa 1994 punde tu alipomaliza masomo ya sekondari, alijiunga na jeshi mwaka wa 1999 na akaandikwa kazi katika jeshi la Royal Military Academy Sandhurst kule Uingereza.