Museveni ampandisha cheo mwanae kuwa Luteni Jenerali

Ahsante kwa masahihisho nilipitiwa kidogo .

Ahsante sana kwa masahihisho muhimu manake ingeweza ku mislead wengine si unajua tena kuna wengine jf ndio shule yao ya maarifa mbalimbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi sio siasa dogo la. Kupiga domo ni vitendo kwenye field! Aliyeongoza vita ana uzoefu kuliko aliyekaa darasani! Mark that
 
Jeshi sio siasa dogo la. Kupiga domo ni vitendo kwenye field! Aliyeongoza vita ana uzoefu kuliko aliyekaa darasani! Mark that
Dogo, mark my words, naongea kwa experience sio kama naongea tu. Wewe ndio unaingiza siasa, hivi unajua kuwa tanzania hii kuna watu waliajiriwa 2010 sahv ni Mameja? Endelea kuamini uaminivyo

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 
Jeshi sio siasa dogo la. Kupiga domo ni vitendo kwenye field! Aliyeongoza vita ana uzoefu kuliko aliyekaa darasani! Mark that
Kuna elimu ya kijeshi, kuna muda wa kukaa na cheo, kuna kozi za ukamanda na unadhimu kuna mitihani na kuna hitajio pamoja na rais mwenyewe kuamua.
Sasa we shikilia kwenye field. Je hayo nilokutajia unayafahamu?

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 
Wapendwa wanajamii na ndugu member muanzisha huu uzi pamoja na wote mliotoa michango yenu humu, Kwa dhati ya moyo wangu naomba nawaomba radhi kwa yale yaliyotokea maana sikupenda kufanya haya niloyafanya kwa makusudi. Mnisamehe sana.

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 


Umefanya nini kwani?
 
Umefanya nini kwani?
Kuna member mmoja hivi nilitukanana nae, binafsi sina tabia hizo ila aliniudhi kupitiliza. Nikajikuta natamka matusi mazito mazito.

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 


oooh pole kijana

Ndio purukushani humu sema JF walifanikiwa kuwatokomeza warusha matusi ila bado matukio yapo yapo humu

Labda hukuwepo kipindi hicho watu na IDs mpya walikuwa wanaporomosha sana matusi humu ikawa Mods wana kazi ya kufuta comments na kuwapiga Ban na kuunganisha IDs
 
Ni kwenye uzi huu

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 
museveni anacho fanya ni hovyo (hii ni kwa kuwa sina madaraka)

ila nikiyapata ningefanya ivo ivo


NB.hakuna mzazi anayeweza mpa mwanae nyoka kama ataomba samaki
Ingekuwa bora kama ungelikuwa unajua namna mtu anavyopadishwa cheo/vyeo ktk jeshi la uganda kuliko kulopoka usilolijua
kuna njia Mbili mwanajeshi(UPDF) ANAVYOWEZA PANDISHWA CHEO
1. MAFUNZO ANAYOPATA/ALIYOPATA
2.VITA ALIYOPIGANDA

SO HEBU TUELEZE JE HIVYO VIGEZO HANA???????????
 

HAPO SIO KWELI ALIJIUNGA NA JESHI PANDE TU ALIPOMALIZA CHUO KIKUU MAKERERE NA ALIANZA MAFUNZO YA MWANZO KABISA NCHINI UGANDA KTK KABI YA KASENYI AMBAYO KIPINDI HICHO ILIKUWA CHINI YA PGB. NA ALIPOFUZU NA KUINGIZWA KIKOSI CHA KUMLINDA RAISI NA KISHA KWENDA KUPATA MAFUNZO ZAIDI NJE YA NCHI IKIWAMO UINGEREZA, ISRAEL, NORTH KOREA, USA, SOUTH AFRIKA NA HATA TANZANIA MOSHI
 
Kwaafrica Siyo story hii
 
nionavyo mimi: hata kama jamaa anastahili kupandishwa ila kwa kuwa mzee m7 amekuwa king'ang'anizi hii haiwezi kufuta picha kwa baadhi ya vichwa vya waganda kwamba jamaa amempendelea mwanaye but yote kwa yote kazi anayo mzee wacha tusubiri babake akitoka madarakani izo sarakasi zake sipati picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…