Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA STUDENT ORGANIZATION (CHASO) KATIKA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM), MUSA NDILE Amezidi kuchanja mbuga siku chache baada ya kutangaza kuwania nafasi ya KATIBU BAVICHA TAIFA, Habari za kuaminika kutoka katika vyanzo vya habari kutoka vyuo mbali mbali hapa Tanzania zinasema MUSA NDILE anaungwa mkono na viongozi na wanachama kutokana na ujasiri wake katika kusimamia hoja ambazo zinagusa maisha ya kila siku ya watanzania. Naomba tumuunge mkono kamanda wetu MUSA NDILE ili tuweze kuimarisha BAVICHA yetu...........
BAVICHA IMARA ITAJENGWA NA VIONGOZI IMARA KAMA MUSA NDILE.
KAMANDA MUSA NDILE (PICHANI) AKIWAHAMASISHA WASOMI WENZAKE JUU YA KUJUA NA KUTETEA HAKI ZAO VYUONI.... IKUMBUKWE MUSA NDILE NI MIONGONI MWA WANAOGOMBEA NAFASI YA UKATIBU BAVICHA TAIFA. Habari za kuaminika zinasema musa ndile anaendelea kuungwa mkono sehemu mbali mbali za nchi na uwezekano wa kutwaa nafasi ya ukatibu wa bavicha ni kubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.